Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,101
- 136,754
kikwete anaweza kuwa forced kutumia brutality na corruption kuliko ya 2005 ili ku cling to power.
One thing is certain, kama ataondoka ni kwa kutaka yeye mwenyewe lakini hakuna kitakachomzuia kuiba kura na pesa ili kurudi Ikulu mpaka 2015.
Hatuna utamaduni wa a one term president.
Now why would he do that?
Waafrika Ndivyo Tulivyo au...?