bravo ,saa ya ukombozi imewadia,.
wajameni kama ni kashfa hii serikali imezidi ,mzee mwanakijiji nimekusikiliza ,safi sana kwa kujitoa kufichua maovu tupo nyuma yako ,sasa angalia Wakati wa kutimiza mwaka mmoja wa rais ikulu,palitokea habari kuwa RICHMOND walifanikiwa kuingiza kwenye grid ya taifa kw20,sasa leo TANESCO wanaibuka kusema kuwa RICHMOND inauzwa haikupata kuuza au kuzalisha hata grid moja ya umeme zaidi ya tests...[citizen ,friday 19jan 2007] sasa hapa napata hisia kuwa hiyo habari ya richmond kufanikiwa kuwasha umeme siku moja kabla ya jk kuadhimisha mwaka itakuwa ilipenyezwa na wanamtandao ili isiharibu sherehe zao ,sasa basi kama walidiriki kupindisha ukweli kuonyesha richmond wamewasha umeme,..kwa nini tusiamini kuwa hii kampuni ni aibu yao....
nategemea maandamano ya kesho yatatoa mwanga ,naomba watanzania wote twendeni tukapinge nchi kuendeshwa na wasanii...