Halafu unaambiwa hilo ni deal moja tu! bado kuna deal kibao ambazo hatujazifahamu! kweli wajinga ndio waliwao! hapo bado hujajua madeal ya Mramba,Mkapa,Sumaye,Karamagi,Rostam Aziz,Lowasa na wengineo!..ndiyo maana hawa watu huwa wanakiburi sana kumbe ni kwa sababu ya mimali waliyojilimbikizia.
Halafu na Rais Kikwete bado hajui ni kwanini nchi yetu ni masikini?
-Wembe
JF hipo hapa kumwambia ukweli JK maana anajiuliza maswali ambayo majibu yake anajua, kwanini nchi ni masikini wakati mawaziri wake na watangulizi wake anaosema waachwe wapumzike wamejirundikia mimali kibao wakati watanzania wanakufa na njaa.