Nyangumi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2007
- 507
- 18
Mje hapa wale mnaomtetea JK na CCM yake.JK ni mwizi wa kutupwa na ndo maana anazungukwa na majambazi.Huwezi kuwa kiongozi safi mwenye kila namna ya kupata taarifa za watu wako, lakini bado unachagua na kuwa na baraza la viongozi wezi.
Napenda kuwahakikishieni kuwa kuanikwa kwa ukweli juu ya IPTL,EPA,MEREMETA,BOT TOWERS ndo utakuwa mwisho wa kuwepo kwa CCM Tanzania.
Kama Chenge kaiba kiasi hiki,tujiulize hao waliokuwa juu yake ambao "madili" yao yeye anayajua watakuwa na kiasi gani?
Yaani Tanzania ni kinyaa tupu. Hatuna haja ya kusubiri 2010 tudai ukweli na hatua sasa. Kama tunawapa hawa majabazi na Chama chao(CCM)miaka miwili,tuna moral standard gani ya kumlaumu JK kwa kuwapa muda wezi na wala rushwa ambao anawajua??
Watanzania kama hatuwezi kuona matatizo na kuyachukulia hatua sasa, hata 2010 hatutaweza.Njaa inayokuja na kupanda kwa bei ya chakula, wataitumia kama fimbo ya kuwalainisha na kisha watawanunua cheap kama mafungu ya nyanya Kariakoo kwa pesa walizofisha huko USWISS.
Napenda kuwahakikishieni kuwa kuanikwa kwa ukweli juu ya IPTL,EPA,MEREMETA,BOT TOWERS ndo utakuwa mwisho wa kuwepo kwa CCM Tanzania.
Kama Chenge kaiba kiasi hiki,tujiulize hao waliokuwa juu yake ambao "madili" yao yeye anayajua watakuwa na kiasi gani?
Yaani Tanzania ni kinyaa tupu. Hatuna haja ya kusubiri 2010 tudai ukweli na hatua sasa. Kama tunawapa hawa majabazi na Chama chao(CCM)miaka miwili,tuna moral standard gani ya kumlaumu JK kwa kuwapa muda wezi na wala rushwa ambao anawajua??
Watanzania kama hatuwezi kuona matatizo na kuyachukulia hatua sasa, hata 2010 hatutaweza.Njaa inayokuja na kupanda kwa bei ya chakula, wataitumia kama fimbo ya kuwalainisha na kisha watawanunua cheap kama mafungu ya nyanya Kariakoo kwa pesa walizofisha huko USWISS.
SAA YA UKOMBOZI NI SASA