The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Gazeti La Mwanahalisi Linastahili Pongezi Kwa Kuweka Wazi Haya Mambo Bila Kumungunya Mungunya Kama Yalivyo Magazeti Mengine Tanzania.

Niliwahi Kusema Huko Nyuma Kuwa Katika Huu Mtandao Wa Ufisadi Wananchi Wengi Wenye Elimu Wanamlaumu Sana Jk. Hilo Sio Kosa Lao Wana Haki Ya Kulaumu Sababu Ni Raisi Wetu, Nasita Kidogo Kumlaumu Moja Kwa Moja Sababu Ni Dhahiri Kabisa Kuwa Haya Maji Ni Mazito Kwa Kiongozi Yoyote Yule Wa Siasa Hasa Siasa Zetu Za Afrika.

Huu Mtandao Ni Mkubwa Ni Muhimu Raisi Asikurupuke, Ni Lazima Ajue Who Is Who, Who Did What, When Etc...kabla Hajatoa Maamuzi Yatakayo Mtafuna Yeye Mwenyewe Kisiasa Au Kuiweka Nchi Mahali Pabaya. Wapo Mtakaosema Nchi Ni Kubwa/muhimu Kuliko Malengo Binafsi Ya Kisiasa. Nakubaliana Na Hilo, Wakati Huo Nakubaliana Na Ukweli Kuwa Sio Kila Raisi Wetu Ni Jeuri Kama Alivyokuwa Nyerere, Hata Yeye Mwenyewe Historia Inatuambia Wajanja Wengine Walishataka Kumpindua Akaponea Chupu Chupu..!!! Nani Alijua Kuwa Dr Rashid Angehusika Moja Kwa Moja Na Rushwa Ya Rada??? Na Ni Wangapi Wengine Wenye Mvuto Mkubwa Kisiasa Ambao Hatujajua Siri Zao, Angalia Basil Mramba Alnavyopendwa Jimboni Kwake Rombo; Pamoja na Kuwa na Kiburi, Kuhusika na Kashfa Zote Kubwa Tanzania Lakini Mramba Alishinda Ubunge Kwa Kura Nyingi Kuliko Mbunge Mwingine Yoyote Tanzania 2005...Tujiuliuze Hiyo Inatoa Picha Gani Kwenye Siasa Yetu Tanzania??

Nakumbuka Dr Rashid Alivyoteuliwa Ceo Wa Tanesco Alimwagiwa Sifa Kibao Na Wana Jambo Forum Hapa; Leo Hii Tunajua Kumbe Na Yeye Alipewa 1 Mil Usd Kama Chenge Tu. Leo Hii Dr Rashid, Chenge, Karamagi, Lowassa, Mramba Wote Lao Ni Moja Na Wote Ni Mafisadi Wakubwa.


Ni Muhimu Huyu Naye Asogee Kutoka Tanesco Uchunguzi Uendelee.
 
Gazeti La Mwanahalisi Linastahili Pongezi Kwa Kuweka Wazi Haya Mambo Bila Kumungunya Mungunya Kama Yalivyo Magazeti Mengine Tanzania.

Niliwahi Kusema Huko Nyuma Kuwa Katika Huu Mtandao Wa Ufisadi Wananchi Wengi Wenye Elimu Wanamlaumu Sana Jk. Hilo Sio Kosa Lao Wana Haki Ya Kulaumu Sababu Ni Raisi Wetu, Nasita Kidogo Kumlaumu Moja Kwa Moja Sababu Ni Dhahiri Kabisa Kuwa Haya Maji Ni Mazito Kwa Kiongozi Yoyote Yule Wa Siasa Hasa Siasa Zetu Za Afrika.

Huu Mtandao Ni Mkubwa Ni Muhimu Raisi Asikurupuke, Ni Lazima Ajue Who Is Who, Who Did What, When Etc...kabla Hajatoa Maamuzi Yatakayo Mtafuna Yeye Mwenyewe Kisiasa Au Kuiweka Nchi Mahali Pabaya. Wapo Mtakaosema Nchi Ni Kubwa/muhimu Kuliko Malengo Binafsi Ya Kisiasa. Nakubaliana Na Hilo, Wakati Huo Nakubaliana Na Ukweli Kuwa Sio Kila Raisi Wetu Ni Jeuri Kama Alivyokuwa Nyerere, Hata Yeye Mwenyewe Historia Inatuambia Wajanja Wengine Walishataka Kumpindua Akaponea Chupu Chupu..!!! Nani Alijua Kuwa Dr Rashid Angehusika Moja Kwa Moja Na Rushwa Ya Rada??? Na Ni Wangapi Wengine Wenye Mvuto Mkubwa Kisiasa Ambao Hatujajua Siri Zao, Angalia Basil Mramba Alnavyopendwa Jimboni Kwake Rombo; Pamoja na Kuwa na Kiburi, Kuhusika na Kashfa Zote Kubwa Tanzania Lakini Mramba Alishinda Ubunge Kwa Kura Nyingi Kuliko Mbunge Mwingine Yoyote Tanzania 2005...Tujiuliuze Hiyo Inatoa Picha Gani Kwenye Siasa Yetu Tanzania??

Nakumbuka Dr Rashid Alivyoteuliwa Ceo Wa Tanesco Alimwagiwa Sifa Kibao Na Wana Jambo Forum Hapa; Leo Hii Tunajua Kumbe Na Yeye Alipewa 1 Mil Usd Kama Chenge Tu. Leo Hii Dr Rashid, Chenge, Karamagi, Lowassa, Mramba Wote Lao Ni Moja Na Wote Ni Mafisadi Wakubwa.


Ni Muhimu Huyu Naye Asogee Kutoka Tanesco Uchunguzi Uendelee.
Kwa nyongeza tu ni kwamba,
huyu mkulu tangu aingie tanesco kuna mabadiliko makubwa sana ameyafanya kwa kisingizio cha kuboresha utendaji.
Alianza kwa kubadili muundo wa tanesco, katika muundo mpya aliouleta ameajiri watu wengi kutoka nje ya tanesco.
baada ya kuchunguza tumegundua kuwa wote ni watu wenye uhusiano nae kwa namna moja ama nyingine.
Mathalani kitengo cha uhasibu karibia 50% ni wajiriwa wapya wengi wao kutoka BOT. Kwakweli hapo ndipo tumeshindwa kumpatia picha huyu mkulu.
inaonekana ameamua kuhamishia tanesco watu wake waliomsaidia kufanya ufisadi BOT, sasa amewaleta tanesco ili aendeleze ufisadi.
katika panga pangua hiyo, kitengo cha uhusiano kimepanguliwa watumishi wake wote na kuletwa sura mpya kutoka nje ya tanesco, kikiwa chini ya bibie Badra masoud, mzee mshana yuko pembeni na watu wake wakisubiria wapangiwe majukumu mengine.
 
kubenea anaandika habari kwa kubase upande mmoja sana. sawa anaandika facts, ila yeye kama mwandishi hatakiwi kumhukumu mtu, alipaswa kumtafuta idris na kuuliza maoni yake, au kama alifanya hivyo basi alipaswa kutuambia labda hakusema lolote.

mafisadi tz unapopita wapo, na ukishakuingia kwenye system ya kifisadi huwezi kutoka. ....
 
kubenea anaandika habari kwa kubase upande mmoja sana. sawa anaandika facts, ila yeye kama mwandishi hatakiwi kumhukumu mtu, alipaswa kumtafuta idris na kuuliza maoni yake, au kama alifanya hivyo basi alipaswa kutuambia labda hakusema lolote.

mafisadi tz unapopita wapo, na ukishakuingia kwenye system ya kifisadi huwezi kutoka. ....

Kwa TZ ukiwatafuta mafisadi kutaka wahakikishe habari, watakumwagia tindikali kabla hata habari haijatoka.

Ingelikuwa vizuri wangelipewa nafasi lakini kwa mazingira ya TZ huenda ni ngumu. Badala yake wanaweza kupewa nafasi baada ya habari kutoka gazetini.
 
kubenea anaandika habari kwa kubase upande mmoja sana. sawa anaandika facts, ila yeye kama mwandishi hatakiwi kumhukumu mtu, alipaswa kumtafuta idris na kuuliza maoni yake, au kama alifanya hivyo basi alipaswa kutuambia labda hakusema lolote.

mafisadi tz unapopita wapo, na ukishakuingia kwenye system ya kifisadi huwezi kutoka. ....

I dislike the red written phrases.

yeye kakuletea facts. kama unaanza kudoubt na credibility ya habari zake, ni juu yako wewe uanze kufukua. sio akupe chakula, akupikie, alafu useme, ho! ilibidi akipondeponde ili nimemeze kirahisi. achana na uvivu wa kusearch wakati inchi yetu imekaa pabaya.

hata wakili wa mahakama hufanya vile vile, anatoa submission ya mashtaka, na kuwa anaonyesha namna gani mtuhumiwa anakutwa na hatia, ila anaiachia mahakama ifanye vile.

kubenea amefanya vile siku zote. amekuwa wakili, ambapo hakimu au jaji ni sisi, yaani wewe na mimi katika mahakama hizi za wananchi. hizi ni mahakama zinazofanya vema pale mahakama za sheria zinaposhindwa kufanya yale tunayotegemea yafanye.

LORD DIPLOCK kwanya kesi moja anasema;
justice is planted in confidence
and confidence is destroyed
right thinking people go away
saying that the judge was bias.​
na ndio hapo sasa tunaanza kutumia mahama za wananchi ili kuhakikisha haki inapatikana.
 
huwezi kuwa gavana wa benki kuu chini ya serikali ya CCM halafu ukawa msafi... utakuwa unadanganya tuu.................
 
Gazeti La Mwanahalisi Linastahili Pongezi Kwa Kuweka Wazi Haya Mambo Bila Kumungunya Mungunya Kama Yalivyo Magazeti Mengine Tanzania.

Niliwahi Kusema Huko Nyuma Kuwa Katika Huu Mtandao Wa Ufisadi Wananchi Wengi Wenye Elimu Wanamlaumu Sana Jk. Hilo Sio Kosa Lao Wana Haki Ya Kulaumu Sababu Ni Raisi Wetu, Nasita Kidogo Kumlaumu Moja Kwa Moja Sababu Ni Dhahiri Kabisa Kuwa Haya Maji Ni Mazito Kwa Kiongozi Yoyote Yule Wa Siasa Hasa Siasa Zetu Za Afrika.

Huu Mtandao Ni Mkubwa Ni Muhimu Raisi Asikurupuke, Ni Lazima Ajue Who Is Who, Who Did What, When Etc...kabla Hajatoa Maamuzi Yatakayo Mtafuna Yeye Mwenyewe Kisiasa Au Kuiweka Nchi Mahali Pabaya. Wapo Mtakaosema Nchi Ni Kubwa/muhimu Kuliko Malengo Binafsi Ya Kisiasa. Nakubaliana Na Hilo, Wakati Huo Nakubaliana Na Ukweli Kuwa Sio Kila Raisi Wetu Ni Jeuri Kama Alivyokuwa Nyerere, Hata Yeye Mwenyewe Historia Inatuambia Wajanja Wengine Walishataka Kumpindua Akaponea Chupu Chupu..!!! Nani Alijua Kuwa Dr Rashid Angehusika Moja Kwa Moja Na Rushwa Ya Rada??? Na Ni Wangapi Wengine Wenye Mvuto Mkubwa Kisiasa Ambao Hatujajua Siri Zao, Angalia Basil Mramba Alnavyopendwa Jimboni Kwake Rombo; Pamoja na Kuwa na Kiburi, Kuhusika na Kashfa Zote Kubwa Tanzania Lakini Mramba Alishinda Ubunge Kwa Kura Nyingi Kuliko Mbunge Mwingine Yoyote Tanzania 2005...Tujiuliuze Hiyo Inatoa Picha Gani Kwenye Siasa Yetu Tanzania??

Nakumbuka Dr Rashid Alivyoteuliwa Ceo Wa Tanesco Alimwagiwa Sifa Kibao Na Wana Jambo Forum Hapa; Leo Hii Tunajua Kumbe Na Yeye Alipewa 1 Mil Usd Kama Chenge Tu. Leo Hii Dr Rashid, Chenge, Karamagi, Lowassa, Mramba Wote Lao Ni Moja Na Wote Ni Mafisadi Wakubwa.


Ni Muhimu Huyu Naye Asogee Kutoka Tanesco Uchunguzi Uendelee.

kaka hakuna mtu yeyote rombo anaempenda Mramba, mimi nilikuwa kule mwaka 1989 kwny mkutano wake wa kampein watu walikuwa wanamzomea na waliokuwa wamejaa kwenye mkutanao huo ni watoto wa shule ambao nao kama kawaida hulazimiswa na walimu wao
 
Idris Rashid has to go! He is as good as any tz big fisadi!

Narudia swali langu tena: Hivi ule mtambo wa watsila unaozalisha megawatt 100 pale ubungo unamilikiwa na nani vile?!
 
..kashfa ya radar ilianza wakati wa utawala wa Mzee Ruksa. hata Waingereza[one of their ministers] wamekiri kwamba Mkapa hili dubwana alilikuta alipoingia madarakani.

..kwamba Dr.Idris Rashid anatuhumiwa ni ushahidi mwingine kwamba serikali ya Mzee Ruksa ndiyo muasisi wa kashfa ya radar.

..pamoja na hayo, Mkapa naye ana kashfa zake ambazo ni nzito na mbaya kama hiyo ya radar, au hata kuzidi.
 
Mi nakubaliana na mchangiaji mmoja hapo juu kuwa Muungwana inabidi ae mpole kidogo.

Apate kujua mtandao mzima kwanza.

Nani ni nani kwenye huo mtandao

Wana nguvu kiasi gani; hela etc

Ina atahari gani kwa taifa.

Kisha awazingire woote na kuwadaka kwa pamoja. Mabadiliko yanatakiwa yaanzie juu na inabidi watoke wote kwa pamoja. Nadhani term ya pili ikianza itakuwa wakati muafaka wa Muungwana kufanya maajabu.

Mafisadi wote watapatikana tu. Subira ndo muhimu.

Fairplayer
 
..kashfa ya radar ilianza wakati wa utawala wa Mzee Ruksa. hata Waingereza[one of their ministers] wamekiri kwamba Mkapa hili dubwana alilikuta alipoingia madarakani.

..kwamba Dr.Idris Rashid anatuhumiwa ni ushahidi mwingine kwamba serikali ya Mzee Ruksa ndiyo muasisi wa kashfa ya radar.

..pamoja na hayo, Mkapa naye ana kashfa zake ambazo ni nzito na mbaya kama hiyo ya radar, au hata kuzidi.

Jokakuu,

Unamwonea mzee Ruksa bure kwenye hili. Hata huyo waziri wa UK unayemsema alitumia jina la mzee Ruksa ili kumlinda Mkapa ambaye alikuwa kipenzi chao.

Pesa zote zimelipwa na kupewa mafisadi wakati wa Mkapa. Hata Idrisa habari inaonyesha alikatiwa mwaka 1999.

Suala la radar lilianza kujadiliwa wakati wa Ruksa lakini maamuzi ya kuinunua na bei vilifikiwa wakati wa Mkapa.
 
Mtanzania,

..habari inaeleza kwamba mchakato ulianza 1992 na kukamilika 1999.

..pia fedha zilihamishwa toka kwa Chenge kwenda kwa Dr.Rashid mwaka 1998.

..kwa msingi huo kuna mambo yalifanyika wakati wa utawala wa Mzee Ruksa, na mengine wakati wa utawala wa Mkapa.

..nadhani kilichobadilika ni Maraisi lakini key players hawakubadilika.

NB:

..kuna dubwana lingine la Dr.Idris Rashid hili hapa.

East African Magazine said:
The Senior Representative of the IMF in Tanzania, Mr Festus Osunsade, said Dr Rashidi had applied for a job at the IMF in Washington DC, but would require Tanzanian government endorsement to get it.

Dr Rashidi, who was appointed governor by former President Ali Hassan Mwinyi, escaped prosecution for allegedly mishandling a debt reduction programme worth Tsh45 billion ($67 million). A parliamentary probe team had recommended prosecution over the debacle. Dr Rashidi was in charge of the debt reduction programme in the early 1990s before he became the governor in 1993.

He was also accused of negligence following the collapse of the Lusaka-based Meridien Biao Bank Tanzania Limited in 1995. The bank went under two weeks after Dr Rashidi declared that it was sound, at a time when Meridien Bank branches in Kenya and elsewhere had collapsed.
 
Controversial radar switched off

2008-08-26 10:14:11
By Njonanje Samwel


The multi-billion air traffic control system at the Julius Nyerere International Airport (JNIA) in Dar es Salaam has developed a technical glitch, The Guardian can authoritatively report.

The combined civilian and military radar system, which the UK`s BAE Systems sold to Tanzania in 2001, has been non-operational for over a month now.

Infrastructure Development minister Dr Shukuru Kawambwa said in a recent interview that he was unaware of such developments, but yesterday, Tanzania Civil Aviation Authority director general Margaret Munyagi confirmed the information.

``Yes, the air traffic control system (radar) has been switched off,`` said the TCAA head during an interview.

According to her, the USD40m (over 40bn/-) equipment had been ``switched off`` after a component that supplies emergency power during interruption became defective.

``As a precaution, we decided to switch it off to avoid anything wrong that would happen from running it without the component,`` she explained.

The component, which is part of the radar system she identified as uninterruptible power supply (UPS), is used to provide backup power when commercial current is off.

However, Munyagi downplayed the technical glitch, saying was ``normal and a minor one,`` and would not affect airport services and other operations.

She said TCAA technicians were working on an option to procure from abroad a new UPS as soon as possible. She said the authority was now sorting out quotations from various UPS suppliers.

In an earlier interview, Dr Kawambwa dismissed the reports as mere speculation.

``I have no such information. If there is any, it would just be mere speculation,`` he said. He, however, promised to find out the truth on the matter.

In 2001, the government bought the radar from the British giant weapons and rms manufacturer ? British Aerospace (BAE).

The move however, was strongly opposed by members from both, UK?s House of Commons and the Parliament of Tanzania.

The World Bank, International Monetary Fund and International Civil Aviation Organisation also revealed their opposition to the deal, saying it was not economical.

ICAO made it clear that the technology was old-fashioned and expensive, that it would cover only half the country at best, and would not provide the country with the air traffic control that it needed to develop its tourist industry.

Members of the UK?s lower house expressed grave concern and they accused bribery in the process of its sale.

One of them, Clare Short, had told the House of Commons: ``I should say to the House that the police came to see me and said that they have documents showing that it was bribery.``

UK`s Serious Fraud Office (SFO) is currently investigating claims that BAE Systems bribed some Tanzanian officials and businessmen to help push the deal through, fully knowing that the facility involved had used ageing technology that was both inadequate and too expensive.

The radar scandal started way back in 1999, when the government of Tanzania signed a contract with BAE Systems for a combined civilian and military-use radar system.

Two years later, a World Bank report concluded that the system offered poor value for money and was unsuitable for Tanzania`s needs.

The World Bank subsequently asked the ICAO for a more detailed report, and, in November 2001, the ICAO report raised concerns about the project and recommended a further report.

During an official tour of Western Europe, President Jakaya Kikwete expressed concern over the issue and censured London for allowing its company?BAE Systems to ``steal`` poor Tanzanian tax-payers` money.

SOURCE: Guardian

My Take: Ndege ya rais sasa Radar.........
 
Controversial radar switched off

2008-08-26 10:14:11
By Njonanje Samwel

The multi-billion air traffic control system at the Julius Nyerere International Airport (JNIA) in Dar es Salaam has developed a technical glitch, The Guardian can authoritatively report.

The combined civilian and military radar system, which the UK`s BAE Systems sold to Tanzania in 2001, has been non-operational for over a month now.

Infrastructure Development minister Dr Shukuru Kawambwa said in a recent interview that he was unaware of such developments, but yesterday, Tanzania Civil Aviation Authority director general Margaret Munyagi confirmed the information.

``Yes, the air traffic control system (radar) has been switched off,`` said the TCAA head during an interview.

According to her, the USD40m (over 40bn/-) equipment had been ``switched off`` after a component that supplies emergency power during interruption became defective.

``As a precaution, we decided to switch it off to avoid anything wrong that would happen from running it without the component,`` she explained.

The component, which is part of the radar system she identified as uninterruptible power supply (UPS), is used to provide backup power when commercial current is off.

However, Munyagi downplayed the technical glitch, saying was ``normal and a minor one,`` and would not affect airport services and other operations.

She said TCAA technicians were working on an option to procure from abroad a new UPS as soon as possible. She said the authority was now sorting out quotations from various UPS suppliers.

In an earlier interview, Dr Kawambwa dismissed the reports as mere speculation.

``I have no such information. If there is any, it would just be mere speculation,`` he said. He, however, promised to find out the truth on the matter.

In 2001, the government bought the radar from the British giant weapons and rms manufacturer � British Aerospace (BAE).

The move however, was strongly opposed by members from both, UK�s House of Commons and the Parliament of Tanzania.

The World Bank, International Monetary Fund and International Civil Aviation Organisation also revealed their opposition to the deal, saying it was not economical.

ICAO made it clear that the technology was old-fashioned and expensive, that it would cover only half the country at best, and would not provide the country with the air traffic control that it needed to develop its tourist industry.

Members of the UK�s lower house expressed grave concern and they accused bribery in the process of its sale.

One of them, Clare Short, had told the House of Commons: ``I should say to the House that the police came to see me and said that they have documents showing that it was bribery.``

UK`s Serious Fraud Office (SFO) is currently investigating claims that BAE Systems bribed some Tanzanian officials and businessmen to help push the deal through, fully knowing that the facility involved had used ageing technology that was both inadequate and too expensive.

The radar scandal started way back in 1999, when the government of Tanzania signed a contract with BAE Systems for a combined civilian and military-use radar system.

Two years later, a World Bank report concluded that the system offered poor value for money and was unsuitable for Tanzania`s needs.

The World Bank subsequently asked the ICAO for a more detailed report, and, in November 2001, the ICAO report raised concerns about the project and recommended a further report.

During an official tour of Western Europe, President Jakaya Kikwete expressed concern over the issue and censured London for allowing its company�BAE Systems to ``steal`` poor Tanzanian tax-payers` money.

SOURCE: Guardian
 
Bubu,

So much for this statement...
But the Minister for Foreign Affairs and International Relations, Jakaya Kikwete, rejects such arguments.
"People say we do not need this system, what are they waiting for? When two jumbo jets crash over Tanzania, will people accept the need for us to have a radar system? This problem is real not fiction," he says.

The foreign minister emphasised not just the government's delight at the new system but also the need for new revenue.
The new system will enable Tanzania to track foreign craft flying over its airspace and consequently collect tax from them, he says.
"We are looking at an increased revenue of $2-5m a year. People are only talking of the $40m that we will spend purchasing the system but what about the revenue it generate?" says Mr Kikwete.

http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/1723673.stm
 
Mi nina unyonge mwingi tu, nashindwa hata kusema, can you believe Pundit anashindwa hata kusema?
 
Justification of buying this radar was the security and safety of our skies and borders.Now that the radar is off does that mean that we are no longer safe ? Ndege zitaanguka ana hazitaweza kutua tena ? Wajuvi nipeni somo .
 
Hapa mzee wa vijisent pamoja na che Nkapa plus Mramba na huyu JK wanapaswa wachukuliwe hatua na wananchi.
 
Mbona nasikia radar lilikuwa linawashwa tu ili kuzuia uchakavu from non-use tuu, na in actual fact halifanyi kazi iliyokusudiwa?
 
Back
Top Bottom