Asante Mwalimu Kithuku,
Wakati mwingine watu kama hawa inabidi wapati dozier yao hapa hapa kabla jogoo hajawika mara tatu.
Wouldnt be suprised,he has a lot of time to spare now,and probably no usingizi at all
Please, you've jumped from claiming the man is a fraudster to accusing him of murder! Did he kill someone close to you nini? You believe chenge was merely a civil servant,for 30+ years? I highly doubt that.
There is a lot of guys out here who will stand by him. Wale ambao tumechoka na dhana yha ujinga huu wa umaskini. Huhitaji kuwa chenge kujua haya unahitaji kusoma japo kidogo tu na kuacha ushabiki.
Do you problems with that?
Please, you've jumped from claiming the man is a fraudster to accusing him of murder! Did he kill someone close to you nini? You believe chenge was merely a civil servant,for 30+ years? I highly doubt that.
If you're ignorant enough to extend a fraud allegation to murder, I have no problem, I only feel ashamed to call you mwafrika wa kike...unafaa kuitwa neanderthal!
Napata faraja kuwa bado kuna watu makini tanzania wanaohangaika kuboresha maisha. Ni wapi tuliambiwa kuwa mtanzania mfanyakazi hapaswi kuwa na biashara au kuwekeza? Swali ni kuwa wapi anawekeza na je hapo anapowekeza kuna faida?
nadhani ndiko kale kamsemo ka "vijisenti" kametoka wapi. Labda ni msemo wa Usukumani pia.. tusimlaumu sana.
Who cares! Get your feelings back to wonderland!
Nzoka... unapoangalia benki statement unaweza kuona cash flow.. jinsi hela inavyoingia na kutoka. Sasa kwa miaka 30 ukiangalia akaunti moja basi unaweza kuona kwa urahisi jinsi gani mtu ameweza kuaccumulate fedha over time.
Tatizo la linakuja hapa; unapofungua akaunti 2001 na ndani ya miezi michache unaweza kuingiza dola karibu milioni moja.. inabidi ueleze zimetoka wapi? Aidha tuamini kuwa alikuwa anazifukia ardhini nyumbani kwa muda wote huo na akaamua kuzipeleka benki ya Jersey au zilitoka mahali fulani. Sasa uzuri wa kiasi kikubwa cha fedha it always leave tracks...
obviously you have feelings for this man. How many members of your family did he destroy/murder?
Ama kweli nyie ni auditors wa account za huyu bwana. Huko jersey baba zenu ndio wahasibu au hizi data mnazitoa wapi kwa kina paparazi ambao leo tumeshuhudia uongo wao, shame on you guts
This will be your home work for this weekend!
your homework is due before your history class on Tuesday!
Wewe unachojibu hapa ni nini kama kuna uchunguzi unafanyika?
FM sikia mkuu.
Mimi niliyotoa ni logic kwamba hiyo pesa inaweza kutengenezeka.
Kusema sisi tumfuate, ni hapana. Hatujamfuata kitu, waliofuata hapa ni SFO period. Na hawa kama naona kitakachotokea, boli itarudishwa kwa serikali ya Tanzania. Maagizo yatatolewa, mambo yatafunikwa kibongo bongo.
Na hiyo kufunikwa kibongo bongo, ndio ya kuwatumia Accountants wake na Lawyers wake. To Tanzanians, its very easy to make yourself innocent if you are guilty.
Mimi mawazo yangu ya ku-tackle issue za kupumbavu hizi zinazozuia maendeleo afrika ni tofauti, na siwezi kutoa mawazo yangu openly. Na kwavile mimi ni mtanzania, najua akili za majority ya watanzania. Too much talk. Unaongea na mtu anaonaje hii ishu, anasema 'watanzania watu wapole sana', 'watanzania wavumilivu sana'.........am sorry, I dont wanna be on the same side with people who cant be decisive on what they wanna achieve to change their lives.
So on that note, I am happy to be different unless people prove otherwise.
Coming from the woman who can't perceive someone can work hard beyond their civil duties?
mama africa kweli ndio maana africa ni maskini
read between the lines. Umetaka ajibu tuhuma ndio maana nakuuliza kuwa ajibu nini wakati uchunguzi unafanyika. Ever heard of the 5th ammendment? huwa kisheria unasubiri kwanza matokeo ndio unajibu , sasa utajibu nini wakati uchunguzi unaendlea. Utasema ni kweli au si kweli Rudi darasani
They dont teach this kind of english at Harvard.
You can always swahili if you have problems with english!
Africa ni masikini coz killers and thieves like Chenge are in power!