marcus rojo
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 1,496
- 5,317
Hahaha tatizo la Chelsea huwa wanaamini kuwa wao ni wakushinda kila game hawajui kuwa mpira ni dk 90, watulize vichwa mfumo wa conte ni mzuri na mpya kwa ligi ya uingereza anapaswa kuwa flexible saaanaaaaa, kuna UEFA ambayo unakutana na makocha bora wanaojua kubadilika (unpredictable). Kama Wenger anakusumbua ivi Sijui lakini huko tuendako anapaswa asajili baadhi ya wachezaji kukiongezea nguvu kikosi. Arsenal huyu alipigwa 5in 5out na Beyern tusijevunja rekodi yao!Kwa hiyo mlitaka kuchukua kila kombe Msimu ujao mnashuka daraja na conte wenu mtakuwa na transition mbaya sana kama leicister city.