Here I am![]()
Mmewachomeka kingine....WTF? Chelsea wamechomoa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tusilalamike. Mara nyingi comments ambazo hazina uhalisia (unrealistic) zikipingwa anayepinga anaonekana mbishi. Ushabiki na mahaba yaliyopindukia hupelekea mtu kubeza timu pinzani pasipo kuzingatia kwamba matokeo ya mpira ni dakika 90+ na yeyote anaweza kufungwa. Comments nyingi humu kuhusu game ya leo ziliipa Chel nafasi ya kuifunga Ars eti kwa vile hawana beki (sababu nyepesi)! Hata kama tukishinda game hii haitakuwa rahisi kivile kama baadhi walivyodhani.
NARUDIA KUSEMA TENA:
Ninaheshimu sana London derbies. Pia ni mara chache sana Chelsea hushinda kirahisi London derbies hata kama angekuwa anacheza na QPR, Fulham, etc!
Mimi ni hiyo basi tu lakini nilitakiwa nizaliwe na Prof. Wenger, maana mapenzi yetu kwa Arsenal yametukukaNilivyopost hio goli likarudi.....ulivyo-quote wewe mmeongeza..COYG
.Leo tupo pamoja....COYG!Mimi ni hiyo basi tu lakini nilitakiwa nizaliwe na Prof. Wenger, maana mapenzi yetu kwa Arsenal yametukuka.
Hazard: Missing in Action
Mkuu Hazard anacheza leo?
Asante Sana, bora nasi tumemaliza msimu na kikombe.Leo tupo pamoja....COYG!
Mkuu kumbe tuko wote kwa babu wenger vijana wangecheza hivi na uefa tungekuwepo ila sio mbaya ngoja tukaoshe nyota europaAsante Sana, bora nasi tumemaliza msimu na kikombe.