Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu aliiharibu domo-kaya Mou. Aliwasifia uhuni wao kwenye media na kusema ndivyo inavyotakiwa wacheze.link 1. Jose Mourinho leaps to Diego Costa's defence after Chelsea win
2. Eden Hazard sidelined until defending improves, says Jose Mourinho
3. Fabregas not one of the Chelsea players trying to get Mourinho sacked
Kilichoharibu Yokohama ni mbinu za ku-park bus za Mou na kufanya mpira wa miguu kuwa ni mieleka, rugby na karate. Mou pia aliamua kufanya ze comedy na majisifu kwenye media ya UK. hizo kitu 2 ndio ziliivurunda Chelsea. Upepo ulipogeuka Media nazo zikaamua kumyonga bila kumvisha kitambaa cheusi machoni.
Costa ni mfungaji wa uhakika, apunguze ubabe na uhuni tu.
Fabregas ni mtoa pasi za uhakika.
Hazard ni confidence issue tu, ataibuka tena.

Pole kwa kipigo cha mbwa mwizi kutoka Watford.
 
Pole kwa kipigo cha mbwa mwizi kutoka Watford.
Umechanganyikiwa wewe! Ameanza PSG amemalizia Everton. Mpaka utatia akili na kuacha utoto msimu huu! Teh teh. khe kheeeeee. ding dong!
Dogo unajua timu gani inaongoza Ligi? Ahhh, let me dream with the fans..I do not want to wake up!
 
bado tuko kwenye mashine

ila mnajitahid sana japo mpo kwenye mashine ................ wanabahati sana wale watoto" kwao mnaenda kuwapa kitu inauma kama mtakavyowafanya liver. ila mjitahidi hata mpige kona moja basi.

vipi game la jana Man Of the Match ni yule yule wa siku zote?
 
ila mnajitahid sana japo mpo kwenye mashine ................ wanabahati sana wale watoto" kwao mnaenda kuwapa kitu inauma kama mtakavyowafanya liver. ila mjitahidi hata mpige kona moja basi.

vipi game la jana Man Of the Match ni yule yule wa siku zote?
Teehee teeeeehe hii post imekaa kinafki
 
uefa-youth-league-report--chelsea-v-ajax.img.png

Chelsea Under-19s will continue the defence of their UEFA Youth League title at the finals weekend in Nyon, Switzerland after booking their place in the last four with victory over Ajax.
 
ila mnajitahid sana japo mpo kwenye mashine ................ wanabahati sana wale watoto" kwao mnaenda kuwapa kitu inauma kama mtakavyowafanya liver. ila mjitahidi hata mpige kona moja basi.

vipi game la jana Man Of the Match ni yule yule wa siku zote?
Wala huwa siangalii nijue nani Man Of The Match akicheza Man U

Kama sio De Gea basi ni nani?
 
Wala huwa siangalii nijue nani Man Of The Match akicheza Man U

Kama sio De Gea basi ni nani?
hahahahahahaha ................ kwa hiyo hata kesho imeshajulikana man of the match ni nani"
 
324B3FBE00000578-0-image-a-3_1458233609498.jpg


John Terry has been presented with a signed shirt by his Chelsea team-mates to celebrate his 700th game

 
"Chelseafc: Team to face West Ham United: Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry (c),
Azpilicueta; Mikel, Fabregas; Willian, Oscar, Kenedy; Remy. #CFC"


"Chelseafc: Today's subs: Begovic, Baba, Matic, Loftus-Cheek, Pedro, Traore, Pato.
#CFC"
 
"Chelseafc: .@GaryJCahill: 'Our personal pride has been hit and we have a responsibility
to finish as high in the table as we can.' #CFC"

"Chelseafc: .@GaryJCahill: 'It’s a derby, both sets of fans want to win, the players
sense that and there’s always an edge.' #CFC"
 
"Chelseafc: Team to face West Ham United: Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry (c),
Azpilicueta; Mikel, Fabregas; Willian, Oscar, Kenedy; Remy. #CFC"


"Chelseafc: Today's subs: Begovic, Baba, Matic, Loftus-Cheek, Pedro, Traore, Pato.
#CFC"
Kimenuka tayari. Goli la mguu sio la mkono . Goli safi sana. Na iko dalili Iva atapata kadi ya rangi ya damu.
Mjumbe hauawi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom