Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nahisi anatafuta njia aondoke kama Suarez!Hazitapungua mechi 5 kufungiwa huyu jamaa

Kwanza kamtemea mate refa
Pili aliweka mdomo wake kwenye shingo ya Barry
Tatu baada ya kutotolewa akamshika refa mwili wake

FA wanae huyu
Yule jamaa ana matatizo ya akili. Afungiwe mpaka msimu uishe kabisa. Ndo yule Verrati wa PSG aliwaambia wachezaji wenzio wawe makini na Costa sababu ya tabia kama hizi
 
Yule jamaa ana matatizo ya akili. Afungiwe mpaka msimu uishe kabisa. Ndo yule Verrati wa PSG aliwaambia wachezaji wenzio wawe makini na Costa sababu ya tabia kama hizi
Mkuu Costa ananafasi yake alimsababishia arbeloa asiitwe z014 sababu ya ile clash Yao alipokua atletico
 
FA mara kadhaa wamekua na huruma na uyu jamaa anafanya vurugu mara kibao wanamuangalia tu naamini this time FA watafanya kile ambacho kilitakiwa kufanywa muda mrefu.
ImageUploadedByJamiiForums1457816421.456033.jpg
 
tatizo huyu kocha wa sasa hajui anataka nini amejigeuza mtu wa kushiriki tu kama wenger haonyeshi usongo na kikombe chochote kweli hii ni hasara bora angerudi dimateo
Kocha ameletwa kwa mkataba mkia wa mbuzi ili kuivusha Yokohama isiingie kwenye kundi la bottom 3 tu. Kama mafiaso wa kirusi anataka vikombe atoe mkataba mkia wa ng'ombe.
 
Msimu ujao hata europa cup hamna, hii ndo ilikuwa route angalau ya kwenda europa! Sijui nani atakubali kuja chelsea, labda Obafemi Martin.
 
Mikel and Matic!??? Nilikuwa zangu kwa mama Kamche nakula kitimoto!!!
 
Naona watu wamekimbia humu...Lukaku kuwapupulisha hatari...Rent Boys back to where they belong, a wee mid table club

Really!??

Kweli nyani haoni kundule, hata akipewa kioo!!!
 
timu imeharibiwa na hawa hazard,diego costa,fabrigas wanamajungu kama riziwani
 
timu imeharibiwa na hawa hazard,diego costa,fabrigas wanamajungu kama riziwani
Timu aliiharibu domo-kaya Mou. Aliwasifia uhuni wao kwenye media na kusema ndivyo inavyotakiwa wacheze.link 1. Jose Mourinho leaps to Diego Costa's defence after Chelsea win
2. Eden Hazard sidelined until defending improves, says Jose Mourinho
3. Fabregas not one of the Chelsea players trying to get Mourinho sacked
Kilichoharibu Yokohama ni mbinu za ku-park bus za Mou na kufanya mpira wa miguu kuwa ni mieleka, rugby na karate. Mou pia aliamua kufanya ze comedy na majisifu kwenye media ya UK. hizo kitu 2 ndio ziliivurunda Chelsea. Upepo ulipogeuka Media nazo zikaamua kumyonga bila kumvisha kitambaa cheusi machoni.
Costa ni mfungaji wa uhakika, apunguze ubabe na uhuni tu.
Fabregas ni mtoa pasi za uhakika.
Hazard ni confidence issue tu, ataibuka tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom