McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Semeni alhamdullulah jirani zangu maana mgonjwa kapiga chafya mlango wa mortuary acha tumrudishe ICU.
Huyu wajanja wameshamjua,mikwaju ya chini haipendi kabisa, hapendi kugaragara kwenye matope![]()
Huyu nae anapua ndefu kama babiani. bora auzwe tu.
Ile penalty ilikuwa ya bahasha au mlibarikiwa?Substitutions bench:
Leo ndo nimegundua tuna benchi dhaifu sana. Na hivi ambavyo hatutakuwepo michuano ya Ulaya ndiyo sielewi ni nani atajisikia prestigious kuja kwetu kukaa benchi la kucheza EPL.
.....
Ile penalty ilikuwa ya bahasha au mlibarikiwa?
Mna bahati, mmechomoa leo.
PSG wanaweka dau hapo summer![]()
Huyu nae anapua ndefu kama babiani. bora auzwe tu.
PSG wanaweka dau hapo summer
Bado tunaweza kupenya mechi za ulaya msimu ujao! Miujiza huwa inatokea kwenye soka! Mi sijakata tamaa bado mpaka hapo hesabu zitakapogoma kabisa!Substitutions bench:
Leo ndo nimegundua tuna benchi dhaifu sana. Na hivi ambavyo hatutakuwepo michuano ya Ulaya ndiyo sielewi ni nani atajisikia prestigious kuja kwetu kukaa benchi la kucheza EPL.
Kuna haja ya kuwatafuta academy players the best - not Loftus Cheek - waingie kuokoa prestige ya chama.
Oscar..Remmy...hawa ni baadhi ya waliocheza leo just because i
tunawapa bure hata wasitoe hata 100,kipa hawezi akawa na pua ndefu hivyo" au tuwape nyie mana game mnaongoza mbili zinarudishwa mnaongezwa ..............
