TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
...............this valentine thing is almost over!
Manake mtu unaweza jikuta roho inaacha mwili hivi hivi kwa misukosuko..
Mara huyu akupigie simu usiku wa manane eti anakutaarifu kesho umalize shughuli zako mapema eti anataka awe na wewe..
Huyu unalazimika kumdanganya kuwa upo mkoani kuna msiba, hivyo hutakuwa availabe..
Huyu unamwambia kwamba umeishiwa anakutumia pesa kwenye M-Pesa eti chukua Taksi mkutane Mlimani city..
Huyu anakulalamikia kwamba humpendi kisa hujampigia simu kwenye siku muhimu kama hii..
Huyu anakupigia simu eti ameamua kujivua pendo kisa hukumjibu sms yake ya Valentine wish..
Huyu anakutumia meseji eti amekumisi wakati juzi umemtumia meseji akauchuna..
Huyu anakupigia simu eti amekuja Dar kimya kimya alitaka aku-surprise kwenye siku ya wapendanao..
Huyu unampigia simu hapokei, anakuja kupiga baadaye eti walitoka lunch na familia yake ndo maana hakupokea simu..
.....................................
Dah..!
Manake mtu unaweza jikuta roho inaacha mwili hivi hivi kwa misukosuko..
Mara huyu akupigie simu usiku wa manane eti anakutaarifu kesho umalize shughuli zako mapema eti anataka awe na wewe..
Huyu unalazimika kumdanganya kuwa upo mkoani kuna msiba, hivyo hutakuwa availabe..
Huyu unamwambia kwamba umeishiwa anakutumia pesa kwenye M-Pesa eti chukua Taksi mkutane Mlimani city..
Huyu anakulalamikia kwamba humpendi kisa hujampigia simu kwenye siku muhimu kama hii..
Huyu anakupigia simu eti ameamua kujivua pendo kisa hukumjibu sms yake ya Valentine wish..
Huyu anakutumia meseji eti amekumisi wakati juzi umemtumia meseji akauchuna..
Huyu anakupigia simu eti amekuja Dar kimya kimya alitaka aku-surprise kwenye siku ya wapendanao..
Huyu unampigia simu hapokei, anakuja kupiga baadaye eti walitoka lunch na familia yake ndo maana hakupokea simu..
.....................................
Dah..!