Ashadii, hicho kisa kimenifanya nicheke. Yaani uwongo wa wazi kabisa jamaa ametumia, binti angemuuliza swali rahisi tu, kama uliibiwa simu ya mdogo wako mbona kuna muda simu yako haikuwa hewani, ina maana mdogo wako aliizima 'simu yako' aliyobaki nayo?
Heee heee!hapa kwetu neiba kaoga kaupara na red drec mchuchumio wa ukwee kapi kwa neibas tumuone alivonoga anamsubiri mchuchu aje ampick lol tangu saa moja anachomeshwa mahindi hapa jamaa kila dk anasema yuko kwenye folen mara niko jiran,mda ulivoenda akawa hapokei cm na sasa hapatikana shost machozi yamekosa brake yanamwagika na kuosha mapouda yote lol!jamaa hajatokea wala nn,tumshauri alale tu ndio imetoka asubiri mwakan tena lol!
halafu ukute ameamini na kuridhika kabisa kuwa alichoambiwa kimetokea kweli..
hahahah.......hakunaga mapenzi dada!!! Lol
Yan hakuna kbs,ni wizi mtupu!yan leo ndio kipimo cha kumjua wa ukweli lol!
masikini Preta, jamaa bado hawapatikani tu? Lol
leo nawadip simu zinaita.....sasa kuwakomesha na mimi nimezima simu......kudadadeki....
Kumbe ulinizimia simu eeh...ndio maana nikawa nashangaa tu pale Kerby Hotel mwenyewe tu...dah.. na chupa yangu ya RED WINE mtoto umenitenda ujue
ujue nimekununia.....kwa siku mbili.....
Usifanye Hivyo bebi...kinywaji chako bado kiko...ila msosi nilifunga nikaenda nao home..siku mbili kwangu naona miaka mia mbili
sitaki nakwambia....huwezi kunifanyia vile.....valentaini dei......
nililia mpaka kope zangu zikang'ofoka......utazilipa ujue.....
Bebi usijari kope tu..tutaenda Shear ...kununua...
kama ni hivyo sawa......my round zambarau....utanunua na lesi wigi....?
tena ya Brazil ndio nzuri au..ulitaka ya wapi?...
ya Brazil imekuwa common sana bana.....nataka ya kutoka Iceland......