Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,993
- 94,017
Kweli zifanyiwe kazi ili afungiwe miaka mitano na faini milioni kumi. . . .Na aliyefanyiwa kitendo hiko apewe uhuru wa kumpeleka mahakamani kwa mashtaka zaid ya udhalilishaji
Mkuu hiyo miwili inamtosha maana kwa umri alionao hawezi tena kurudi kucheza soka...