Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 758
- 1,232
Kwa mpira wa jana Simba dhidi ya Singida nashawishika kusema TFF hawana budi kuchunguza Mechi zote ambazo simba Wanacheza.
Inawezekana ndio mpango wa maboss wao kuwarubini Waamuzi ili wapate matokeo. Haiwezekani mechi zaidi ya 5 waamuzi Wanaochezesha mechi za Simba kufungiwa/ kulaumiwa
Kibaya zaidi hili genge linasahau mpira wa miguu kwa sasa unaonekana na kila mtu.
Watafute wachezaji wenye sifa kuliko vituko wanavyofanya kwa sasa.. ni aibu sana
Inawezekana ndio mpango wa maboss wao kuwarubini Waamuzi ili wapate matokeo. Haiwezekani mechi zaidi ya 5 waamuzi Wanaochezesha mechi za Simba kufungiwa/ kulaumiwa
Kibaya zaidi hili genge linasahau mpira wa miguu kwa sasa unaonekana na kila mtu.
Watafute wachezaji wenye sifa kuliko vituko wanavyofanya kwa sasa.. ni aibu sana