Mchezaji Yanga apigwa faini kwa sababu ya ushirikina

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,243
103,924
Mchezaji wa Yanga Africa, Shomari Kibwana ametozwa Faini ya Shilingi Milion Moja kwa kosa la kuonekana akiondoa taulo la Mlinda lango wa Klabu ya Mashujaa Lilikokuwa limewekwa Pembeni ya Lango wakati mchezo huo unaendelea.

Adhabu hii ni Kuzingatia Kanuni ya 41:5 ya Ligi Kuu kuhusu udhibiti wa wachezaji .
 
Mchezaji wa Yanga Africa, Shomari Kibwana ametozwa Faini ya Shilingi Milion Moja Kwa kosa la Kuonekana akiondoa taulo la Mlinda lango wa Klabu ya Mashujaa Lilikokuwa limewekwa Pembeni ya Lango wakati mchezo huo unaendelea..

Adhabu hii ni Kuzingatia Kanuni ya 41:5 ya Ligi Kuu kuhusu udhibiti wa wachezaji .
Wote wawili Kibwana na Mzize wamepigwa faini ya Milioni 1 kila mmoja. Adhabu za namna hii naona kama inabidi itozwe timu na siyo mchezaji pamoja na kwamba najua akipigwa mchezaji inaenda kulipia timu yake.
 
.
1708022574362.jpg
 
Ndugu mbumbumbu katika mpira wa miguu haitakiwi pale golini au kwenye nyavu za goli kuwekwa kitu chochote, ata chupa ya maji aihitajiki ndani ya goli labda uweke nje ya eneo la kuchezea.
Alichofanya kibwana shomari kilitakiwa kifanywe na refa.

Kazi ya taulo ni kipindi kama Kuna mvua au manyunyu kufuta maji kwenye groves za kipa au matope.
Sasa jua linawaka, hakuna mvua mataulo ya Nini?
 
Ndugu mbumbumbu katika mpira wa miguu haitakiwi pale golini au kwenye nyavu za goli kuwekwa kitu chochote, ata chupa ya maji aihitajiki ndani ya goli labda uweke nje ya eneo la kuchezea.
Alichofanya kibwana shomari kilitakiwa kifanywe na refa.

Kazi ya taulo ni kipindi kama Kuna mvua au manyunyu kufuta maji kwenye groves za kipa au matope.
Sasa jua linawaka, hakuna mvua mataulo ya Nini?
Kujifutia jasho na tokea lini ikawa marufuku kuwa na kitaulo golini?
 
Kujifutia jasho na tokea lini ikawa marufuku kuwa na kitaulo golini?
Kazi ya taulo si kujifutia jasho pale golini, lile nikwaajili ya maji au matope hasa kipindi ch mvua.
Ingekua kazi yake ni kujifutia jasho Kila mchezaji angeruhusiwa kuwa na chake ata marefa wangekua navyo.
Kungekua na muda maalum wa kujifutia jasho na mataulo yangewekwa sehemu maalum.
 
Kazi ya taulo si kujifutia jasho pale golini, lile nikwaajili ya maji au matope hasa kipindi ch mvua.
Ingekua kazi yake ni kujifutia jasho Kila mchezaji angeruhusiwa kuwa na chake ata marefa wangekua navyo.
Kungekua na muda maalum wa kujifutia jasho na mataulo yangewekwa sehemu maalum.
Washirikina nyie...majini fc...
 
Mchezaji wa Yanga Africa, Shomari Kibwana ametozwa Faini ya Shilingi Milion Moja kwa kosa la kuonekana akiondoa taulo la Mlinda lango wa Klabu ya Mashujaa Lilikokuwa limewekwa Pembeni ya Lango wakati mchezo huo unaendelea.

Adhabu hii ni Kuzingatia Kanuni ya 41:5 ya Ligi Kuu kuhusu udhibiti wa wachezaji .

Hata simba wamepigwa faini kwa sababu ya ulozi
 
Kazi ya taulo si kujifutia jasho pale golini, lile nikwaajili ya maji au matope hasa kipindi ch mvua.
Ingekua kazi yake ni kujifutia jasho Kila mchezaji angeruhusiwa kuwa na chake ata marefa wangekua navyo.
Kungekua na muda maalum wa kujifutia jasho na mataulo yangewekwa sehemu maalum.
Kuna magolikipa wanatumia kujifuta jasho na kufuta glovu zao.Kuna watu wanatoka sana jasho mikononi na usoni.Ingekuwa inakatazwa marefa wasingekubali kuwepo na taulo.
Na kuamini kwamba taulo linazuia goli kuingia ni ujinga wa kiwango cha juu.
 
Hata simba wamepigwa faini kwa sababu ya ulozi
Kuna tofauti ya mashabiki hata wasiokuwa na uhakika kwamba ni wa Simba na wachezaji tena wawili kuamini kwamba taulo linazuia mpira kuingia golini.Ni ujinga wa hali ya juu
 
Kazi ya taulo si kujifutia jasho pale golini, lile nikwaajili ya maji au matope hasa kipindi ch mvua.
Ingekua kazi yake ni kujifutia jasho Kila mchezaji angeruhusiwa kuwa na chake ata marefa wangekua navyo.
Kungekua na muda maalum wa kujifutia jasho na mataulo yangewekwa sehemu maalum.
Boya kweli wewe ushabiki maandazi tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom