Smart codetz
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 180
- 703
Bodi ya Ligi (TPLB) imekataa maombi ya Simba SC ya katakana kuutumia uwanja wa Azam compex, kwenye mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union ya Tanga.
Simba SC imeomba kuutumia uwanja wa Azam complex kwa ajili ya wachezaji wao kuuzoea uwanja huo watakaoutumia kwenye mchezo wao wa marudiano ya Champions League dhidi ya Power Dynamos.
Inaelezwa Bodi ya ligi (TPLB) imewataka Simba SC kuendelea kuutumia uwanja wa Uhuru kwasababu ndio uwanja ambao wameuchagua kuutumia kama uwanja wao wa nyumbani baada ya Benjamin Mkapa kuwa kwenye Ukarabati.
Simba SC lengo lao ni kuwafanya wachezaji wao wauzoee uwanja wa Azam complex ambao watautumia Oktoba mosi dhidi ya Power Dynamos.
Simba SC imeomba kuutumia uwanja wa Azam complex kwa ajili ya wachezaji wao kuuzoea uwanja huo watakaoutumia kwenye mchezo wao wa marudiano ya Champions League dhidi ya Power Dynamos.
Inaelezwa Bodi ya ligi (TPLB) imewataka Simba SC kuendelea kuutumia uwanja wa Uhuru kwasababu ndio uwanja ambao wameuchagua kuutumia kama uwanja wao wa nyumbani baada ya Benjamin Mkapa kuwa kwenye Ukarabati.
Simba SC lengo lao ni kuwafanya wachezaji wao wauzoee uwanja wa Azam complex ambao watautumia Oktoba mosi dhidi ya Power Dynamos.