TFF imemfungia Nyoso kwa miaka miwili kucheza mpira wa miguu

Azam wamepeleka malalamiko baada ya picha kuanza kusambaa mtandaoni...

Walipaswa kupeleka malalamiko yao kwa Kamisaa wa match...Hawakufanya hivyo...

Adhabu ya miaka miwili ni kubwa mno...

Gonzalo Jara wa Chile alimfanyia kitendo kama hiki Edinson Cavani wa Uruguay...Adhabu aliyopewa Jara ni kufungiwa mechi nne na faini ya Dola 7,500 za Kimarekani...

FYI....Hii ya Nyosso ni adhabu kubwa kuwahi kutolewa Duniani kwa mchezaji wa Football....Nyosso ndio anashika rekodi ya Dunia sasa hivi akifuatiwa na Diego Maradona aliyefungiwa miezi 15...
Gonzalo Jara lile lilikuwa kosa lake mara ya kwanza,na kufungiwa mechi 4 timu ya taifa ni sawa na mwaka mmoja
Nyoso amepewa hii adhabu baada ya kurudia kitendo kama hiki mara ya pili,last season alifanya tukio kama hilo na alifungiwa mechi 8.Kitu cha msingi ni TFF na Mbeya City watafute wataalamu kujaribu kumsaidia
 
Pamoja na kwamba kosa alilofanya Nyoso halikubaliki lakini adhabu ya kumfungia miaka miwili ni kubwa sana, kuna haja ya yeye Nyoso au Mbeya City kukata rufaa adhabu ipungue. Miaka miwili maana yake tutamwona uwanjani tena msimu wa 2017/2018 na sidhani kama atarudi tena uwanjani labda kwenye timu za maveteran. TFF angalieni upya tena kanuni zenu.
 
Pamoja na kwamba kosa alilofanya Nyoso halikubaliki lakini adhabu ya kumfungia miaka miwili ni kubwa sana, kuna haja ya yeye Nyoso au Mbeya City kukata rufaa adhabu ipungue. Miaka miwili maana yake tutamwona uwanjani tena msimu wa 2017/2018 na sidhani kama atarudi tena uwanjani labda kwenye timu za maveteran. TFF angalieni upya tena kanuni zenu.

Akafie zake mbele
 
TFF imeshikiliwa Azam kuanzia udhamini hadi viongozi wa bodi ya ligi adhabu ya namna hii ni ya kuitarajia ni adhabu ya kumkomoa na kuua familia ya juma nyoso, tff wamejiridhisha vp kama picha sio za kutengeneza? na kama kweli amefanya kosa adhabu tff imetoa adhabu ya kukomoa ili kumridhisha bos7 wake azam campany, kitendo alichofanya nyoso sio kigeni hata uko duniani vpo gonzalo jara alimfanyia hivo edson cavani alifungiwa mechi 5, wengine wanasema karudia kosa lile lile sasa kwani hakupata adhabu? alifungiwa mechi 8 kwa ishu ya maguli, maana yake halifungamani na kosa la sasa, juma nyoso kama amefanya kosa anastahili adhabu lakini sio kubwa kiasi hiki cha miaka 2, lengo la adhabu ni kufundisha na sio kuua.
 
Huyu jamaa kwa kitendo kile alichokifanya kwa kurudia rudia zaidi ya Mara Tatu kwa Joseph Janii Amir Maftah na kwa yule strike wa simba na sasa kwa John Bocco anawaambia nini mkewe na wanawe hadi wamwelewe ?
 
Jamaa bado ana uhuni wa zamani mno.....Tatizo anashindwa ku-kua mwili na akili, mwili unakua ila akili bado za miaka ya 90s.
 
TFF wangemfungia maisha. Hiyo miaka miwili ni kumependelea sana.
Ndio makuzi aliyolelewa yanaonesha ni mtu wa aina gani.
 
Daah pole zake ila anatakiwa akue vyote si kukua mwili tu na shirikisho la soka lingemshushia rungu kali
 
TFF imeshikiliwa Azam kuanzia udhamini hadi viongozi wa bodi ya ligi adhabu ya namna hii ni ya kuitarajia ni adhabu ya kumkomoa na kuua familia ya juma nyoso, tff wamejiridhisha vp kama picha sio za kutengeneza? na kama kweli amefanya kosa adhabu tff imetoa adhabu ya kukomoa ili kumridhisha bos7 wake azam campany, kitendo alichofanya nyoso sio kigeni hata uko duniani vpo gonzalo jara alimfanyia hivo edson cavani alifungiwa mechi 5, wengine wanasema karudia kosa lile lile sasa kwani hakupata adhabu? alifungiwa mechi 8 kwa ishu ya maguli, maana yake halifungamani na kosa la sasa, juma nyoso kama amefanya kosa anastahili adhabu lakini sio kubwa kiasi hiki cha miaka 2, lengo la adhabu ni kufundisha na sio kuua.

Acha kushabikia vitendo vya kishoga huyo jamaa kafungiwa kwa mujibu wa kanuni labda uhamasishe wachezaji wagomee hizo kanuni, pia picha ya video ipo tembelea kwa shafii dauda
 
Alifanya kitu gani Kwan huyo jamaa
NYOSSO-DOLE.jpg
 
Acha kushabikia vitendo vya kishoga huyo jamaa kafungiwa kwa mujibu wa kanuni labda uhamasishe wachezaji wagomee hizo kanuni, pia picha ya video ipo tembelea kwa shafii dauda

Mkuu sijatetea kitendo alichofanya na kama umesoma viziri hapo utaona nimeunga mkono nyoso kupewa adhabu lakini iyo adhabu ni too much, miaka 2 ni muda mrefu sana.
 
Pamoja na kwamba kosa alilofanya Nyoso halikubaliki lakini adhabu ya kumfungia miaka miwili ni kubwa sana, kuna haja ya yeye Nyoso au Mbeya City kukata rufaa adhabu ipungue. Miaka miwili maana yake tutamwona uwanjani tena msimu wa 2017/2018 na sidhani kama atarudi tena uwanjani labda kwenye timu za maveteran. TFF angalieni upya tena kanuni zenu.

Wewe kama unapenda ushoga nenda akutie vidole,mchezaji hawezi kufanya upumbavu akahurumiwa,sheria zipo lazima zifuatwe,kama mnajua sheria ni kali mngemshauri aache mchezo wake wa kijinga au ahamie marekani.

Udhalilishaji michezoni haukubaliki,tena wamempunguzia, ilitakiwa apigwe miaka 4 na adhabu milioni 5.
 
TFF wangemfungia maisha. Hiyo miaka miwili ni kumependelea sana.
Ndio makuzi aliyolelewa yanaonesha ni mtu wa aina gani.

Huyu kenge alitakiwa aondolewe kabisa kwenye ulimwengu wa wqtu wastaarabu wa michezo.

Wamfungie maisha huyo kenge.
 
Huyu kenge alitakiwa aondolewe kabisa kwenye ulimwengu wa wqtu wastaarabu wa michezo.

Wamfungie maisha huyo kenge.

Unatumia jazba na hasira kuhukumu kuliko hekima, je unajua kitu gani bocco alimwambia kabla hajamfanyia hivyo. Try to be rational
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom