Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
Nimrod Mkono yuko wapi? Mtafuteni anahusika katika defense strategies.
Pundit: Mkono hapa kaingiaje? Jamani tuache speculations....
Nimrod Mkono yuko wapi? Mtafuteni anahusika katika defense strategies.
Pundit: Mkono hapa kaingiaje? Jamani tuache speculations....
Taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba huyu bwana ni mzima na yuko kwake
Tumwombee MUNGU JAMANI....Besides,we need him ALIVE
Wakati mwingine naona bora wafe tu kwa kuwa hata wakiishi hawatusaidii chochote,sana sana wataendelea kutuibia tu. Wataishia kukimbia na kujificha tusipopajua au wataamua kugeuka mabubu. Tulimuombea Balali hapa asife ili atuambie ukweli but up to now he has been an absolutely dissapointment. Mkapa is another waste of space! Na hawa wote kwa taarifa yenu hata tukienda mahakamni watashinda, bora wauane wenyewe kwa wenyewe ili tuchukue mali zetu kiulaini.
Taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba huyu bwana ni mzima na yuko kwake
Siyo speculations, Mkono kaonekana kwa lawyer wa Chenge Ohio wiki hii.
Ni Kweli Sasa Hivi Nimepata Udhibitisho Kwamba Jamaa Wamemtosa Kila Kitu Kinaelekea Kwake Na Mipesa Yote,itachukuliwa Sasa Kamua Kufa Na Kuacha Visenti,mr Dirty Nasikia Hampi Ushirikiano Kama Wa Mwanzo,hakujua Jinsi Ben Alivyo Na Roho Mbaya Ya Devil Woshiper.
Ni Kweli Sasa Hivi Nimepata Udhibitisho Kwamba Jamaa Wamemtosa Kila Kitu Kinaelekea Kwake Na Mipesa Yote,itachukuliwa Sasa Kamua Kufa Na Kuacha Visenti,mr Dirty Nasikia Hampi Ushirikiano Kama Wa Mwanzo,hakujua Jinsi Ben Alivyo Na Roho Mbaya Ya Devil Woshiper.
hold on a minute...
Jana nilipata rumour kuwa Karamagi kajinyonga.... na huyo mtu aliambiwa na watu wawili. Nilifuatilia habari hiyo kwa haraka na kuona haina msingi.
Sasa, hadi dakika hii ka nzi ka KLH ambako kanazunguka zunguka Tanzania hakajapata lolote...
Naomba MOD muiweke habari hii with a big question mark hadi itakapothibitishwa vinginevyo.
hold on a minute...
Jana nilipata rumour kuwa Karamagi kajinyonga.... na huyo mtu aliambiwa na watu wawili. Nilifuatilia habari hiyo kwa haraka na kuona haina msingi.
Sasa, hadi dakika hii ka nzi ka KLH ambako kanazunguka zunguka Tanzania hakajapata lolote...
Naomba MOD muiweke habari hii with a big question mark hadi itakapothibitishwa vinginevyo.
this is what most pple forget!
There is a big tyme equalizer out there, whatever goes up.....
Hivi online media za bongo hawana "breaking news" initiative kabisa?
Wanakuwa hawana tofauti yoyote na print media sasa.
Kweli kabisa PUNDIT..nimeangalia angalia kote hakuna kitu na TANZANIA DAIMA ndio kabisa bado wanalo gazeti la jana. Kweli news media imelala "fofofo" Bongo.