The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Hii Mada ifutwe. Moderator mbona umeirudisha. Ibakize kulekule kwenye udaku ambako wengine huwa hatutembelei!!!
Kweli kabisa PUNDIT..nimeangalia angalia kote hakuna kitu na TANZANIA DAIMA ndio kabisa bado wanalo gazeti la jana. Kweli news media imelala "fofofo" Bongo.
inawezekana ikawa ni uvumi tu lakini hao waliovumisha kupitia kwenye mitandao hawajasema kama amekufa walichosema ni kuwa amekunywa au kunyeshwa sumu na yupo lugalo.
hata hivyo ya kukanusha pia bado haina uhakika maana mambo ya Bongo si tunayafahamu sana marehemu Amina chifupa alipewa sumu naye akakimbizwa hospitali lakini baada ya muda watu wakasema hakuna lolote na anaendelea na shughuli zake lakini baadaye muda tukathibitishiwa na baba yake kwamba kweli ni mgonjwa na yupo huko huko ligalo tulipoambiwa. halikadhalika Who Was Behind Kolimba s death and who was kiranja to close the mishon !!!Tz!!.
waheshimiwa mzee wa vijicent ajafa ila alizidiwa wakampeleka lugalo cause ya pressure na alikuwa kwenye chumba maalum kama AMINA CHIFUPA bado twafatilia kama alitoka au la kama mpaka sasa yupo uko atarajie kuchifupwa muda wowote
waheshimiwa mzee wa vijicent ajafa ila alizidiwa wakampeleka lugalo cause ya pressure na alikuwa kwenye chumba maalum kama AMINA CHIFUPA bado twafatilia kama alitoka au la kama mpaka sasa yupo uko atarajie kuchifupwa muda wowote