BabaH
Senior Member
- Jan 25, 2008
- 103
- 8
Pengine uzushi tu.
Kama ni uzushi, Moderator ondoa hii please, maana itakuwa haijakaa vizuri kabisa kwa status ya JF, hapa sio mahali pa kuanzisha uzushi jamani kama kweli
Pengine uzushi tu.
Taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba huyu bwana ni mzima na yuko kwake
ADMIN
Source wangu ameconfirm kuwa kuna UTATA kwenye hii habari...naomba uiwekeee question mark kwenye heading
bado niko kwenye simu na SOURCE wangu
WADAU NIWIENI RADHI KWA SASA lakini kila mwenye source aendelee kuangalia kwa undani zaidi
ADMIN
Source wangu ameconfirm kuwa kuna UTATA kwenye hii habari...naomba uiwekeee question mark kwenye heading
bado niko kwenye simu na SOURCE wangu
WADAU NIWIENI RADHI KWA SASA lakini kila mwenye source aendelee kuangalia kwa undani zaidi
Kufa na kubaki yote ni sawa tu kwa Tanzania
Hivi mnafikilia kuna siku hawa jamaa watapelekwa mahakamani?? hiyo ni ndoto sio chini ya Kikwete, Pinda, Said Mwema, Hosea, Othuman, labda waje viongozi wengine hili linaweza kutokea, lakini sio kirahisi hivi.
Mtasubiri anywe sumu mpaka kiama yu mzima kabisa. Wakati mwenzenu anawekeza kwenye vitega uchumi nyie mnawekeza kwa mabinti. All u can get from mabinti ni ukimwi au watoto, nothing more.
Mtasubiri anywe sumu mpaka kiama yu mzima kabisa. Wakati mwenzenu anawekeza kwenye vitega uchumi nyie mnawekeza kwa mabinti. All u can get from mabinti ni ukimwi au watoto, nothing more.