Nikifikiria sura yako ilivo na kichwani unavyowaza muda wote !!Nashindwa kujua shida ni nnKulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.
Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.
Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?
Wewe una uzoefu gani kwenye hili jambo?
Nawasilisha.
Hizo zinajulikana.Daah mpk siku zile za mapunziko?
Mara 3-5 kwa siku, kama mmeshinda wote siku nzimaBut how many times on average km mnapendana
Kuwa uyaone kijanaUongo huu