Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,759
- 218,380
Hili ni jambo jipya kuwahi kuliona tangu nipate akili. Na kwa kweli ni aibu kubwa kwa Nchi.
Nakulilia Tanzania.
Nakulilia Tanzania.
Aibu sana !Uku honorable causa akitoa hotuba ya kufunga mwaka yenye ahadi hewa.
Bwana weee !!!!
Ndio ushaona wakifanya second time hutashangaa!Hili ni jambo jipya kuwahi kuliona tangu nipate akili , , Na kwa kweli ni aibu kubwa kwa Nchi .
Nakulilia Tanzania .
Nunua jenereta acha keleleHili ni jambo jipya kuwahi kuliona tangu nipate akili , , Na kwa kweli ni aibu kubwa kwa Nchi .
Nakulilia Tanzania .
Mimi ninalo , tabu ni hao mnawaita wanyonge
Nakutabiria mkuu, Temeke 2024 itakua full giza hama faster!!Hili ni jambo jipya kuwahi kuliona tangu nipate akili , , Na kwa kweli ni aibu kubwa kwa Nchi .
Nakulilia Tanzania .
Umeandika kwa kujiamini kabisa , Temeke ndiyo mkoa!!!!!!!!!!!! Aiseee huu mwaka nao uishe tuTEMEKE ndiyo mkoa unao ongoza kwa kukatika kwa umeme Tanzania.. na kwa bara la Africa na ukanda wa sahara in general
Kama Temeke kuna tatizo la kukatika Umeme basi kwanza tuipongeze Serikali kwa kufikisha huduma ya Umeme Temeke nzimaTEMEKE ndiyo mkoa unao ongoza kwa kukatika kwa umeme Tanzania.. na kwa bara la Africa na ukanda wa sahara in general