Change_down
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 276
- 53
Mimi natumia tecno y3, mbona haina hayoo matatizooooo
tena hiyo Y3 ndio kanyanga labda kama matumizi yako niya kupiga na kupoke simu na txt na hata kwa kazi hizo tu sometymz inakuwa slow sana unataka kupiga au kukata simu lazima i delay kidogo inatabia ya kukata mtandao mida mingine haswa data na upande wa simu au txt utakuta mda mwingine kila simu unayo piga unaambiwa haipatikani au txt hazitoki hapo mpaka uizime na uiwashe ndio uendelee na huduma