Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
Samsung hawana hayo madudu kabisa
Simu unaweza kununua Leo ila siyo ya kiwango cha juu unakuta app za kisasa azikubali app imetengenezwa ina run na simu yanye ram2 gb kulazimicha hivyo kila siku simu zinapitwa na wakati lengo ni biasharasasa mkuu simu nimenunua leo kesho ina kirusi ni njama ya kwenda kununua simu nyengine?
mkuu sikuelewi kabisa hakuna mtu anaebisha kuhusu ram, na simu kuwa outdated na huwezi ukaweka ram kubwa wakati soc/technology husika hairuhusu.Simu unaweza kununua Leo ila siyo ya kiwango cha juu unakuta app za kisasa azikubali app imetengenezwa ina run na simu yanye ram2 gb kulazimicha hivyo kila siku simu zinapitwa na wakati lengo ni biashara