kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,514
- 7,909
Simu hazina tatizo ila uwezo wa kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja ndio haziwezi, ukitaka ufurahie hizi simu ipunguzie mzigo mfano app ambazo tangu ununue simu hujawahi kuzitumia na hauna mpango wa Kuja kuzitumia na Ile milio ya simu ambayo inakuja na simu ni bora kuifuta ukabaki na milio mwili au mitatu tu, au weka stock rom za Sony Ericsson au Samsung ktk tecno yako (sio official )
ni custom rom mkuu
majanga mengine tecno hazina custom rom nyingi na stable
stock rom zake zenyewe kuzipata kazi itaku custom rom kwel.