Tecno Mobile ndani ya GSM Arena

Tecno Mobile ndani ya GSM Arena

Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..

Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??

Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
Binafsi sumsung,nokia sizikubali kwa tecno.Nimeaza zitumia tecno tangia mwanzo zimeingia sokoni hadi hiv leo na sitoacha.na wakati huo huo nimeanza na i phone 5 hadi sasa i phone7+ tena sio used ni brand new...so inapofikia issue ya kupenda kitu ni just hisia tu...Tena kuna simu za maana kuliko hayo maujinga ya sumsung
 
Binafsi sumsung,nokia sizikubali kwa tecno.Nimeaza zitumia tecno tangia mwanzo zimeingia sokoni hadi hiv leo na sitoacha.na wakati huo huo nimeanza na i phone 5 hadi sasa i phone7+ tena sio used ni brand new...so inapofikia issue ya kupenda kitu ni just hisia tu...Tena kuna simu za maana kuliko hayo maujinga ya sumsung

Asa kama samsung ni maujinga tecno yatakuwa manini[emoji23][emoji23]
 
Hello Techs,

Naona sasa ule ubishi wa kiwango cha ubora wa simu za TECNO kinaelekea mwisho.

Uliwahi anzishwa uzi humu, watu fulani wakakomaa kuwa simu za Tecno hazipo GSM ARENA hivyo hazina ubora wa kuuzika ulaya. USA etc.

Sasa GSM ARENA wameziweka rasmi simu za TECNO , je mna jipya jingine?[emoji23][emoji23][emoji23]

Napokea povu la aina yoyote....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Karibuni. Hii battle imefufuka upya

Source: GSM ARENA - All Tecno phones

Zimeenda kuaibika.. ni hatua ya kushukuru hasa Kwa wanunuaji wa tecno ambao walikuwa wananunua product bila kujua .. Sasa watajua wananunua nini ...

Ila kiufupi tu nimeingia nimekuta simu yao latest ina ppi density ya 268 kama sijakosea ni tecno Camon 11 pro .. ni vituko Kwa simu kama hii ina m screen mkuubwa iwe na pixel density ya hivyo alafu haina added tech yoyote kwenye display ..
 
Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..

Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??

Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji106][emoji120]
 
Zimeenda kuaibika.. ni hatua ya kushukuru hasa Kwa wanunuaji wa tecno ambao walikuwa wananunua product bila kujua .. Sasa watajua wananunua nini ...

Ila kiufupi tu nimeingia nimekuta simu yao latest ina ppi density ya 268 kama sijakosea ni tecno Camon 11 pro .. ni vituko Kwa simu kama hii ina m screen mkuubwa iwe na pixel density ya hivyo alafu haina added tech yoyote kwenye display ..
Sawa mkuu,

Ila hiyo ndio maana halisi ya simu ya mtumiaji wa hali ya chini.

Hizo PPI kwa mwafrica wa kawaida hajui hata ndio utumbo gani. Hizo mambo za nm mtu wa kawaida hajui ndio vitu gani. So long simu ipo inafanya kazi vizuri , features za muhimu zipo basi vingine ni nyongeza tu. Sijui NFC, Gorilla Glass, Apple Pay, Samsung Pay etc. Sijui hata wewe kama ulishawahi kutumia kwa maisha ya kibongo[emoji16]
 
natoka nje ya mada. nimependa hili toleo jipya la sasa camon 11 ila natamani kujua 11 pro inaweza kwenda kwa bei gani anayejua
Hayo ndio makadirio. Ila maduka ya kawaida unaweza pata hata kwenye 370000/= hivi. (sina uhakika sana)
Screenshot_20181212-070632.jpeg
 
Ubishi huu utakuta kwa waswahili tuu, ambao kila kitu wameletewa. Huwezi kuta mzungu au huyo mchina kwenye hii mambo.
 
1544587913889.png

Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..

Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??
Hapo kwenye RED huo mtazamo sio sahihi, Msikilize MH Mbunge hapa neno kwa neno, Kuna kitu cha kujifunza

1544588053011.png

Hii imenunuliwa siku chache zilizopita.
- Si kweli kuwa hatuzioni hizo tecno.
 
Ubishi huu utakuta kwa waswahili tuu, ambao kila kitu wameletewa. Huwezi kuta mzungu au huyo mchina kwenye hii mambo.
Sasa mmekuja na trick mpya kuwa ni waswahili. Lakini ile tbs yenu ya simu yenye imekubali kwa sasa
 
Ngoja nianze mimi na hili povu.

Wakiweka Gsmarena si advantage kwa tecno kama unavyofikiri bali ndio wanazidi kuaibika sababu jinsi specification zinavyokuwa revealed ndio jinsi unavyoona ni jinsi gani zilivyo mbaya.

Nimechukua tu simu ya kwanza
Tecno Pop 1s - Full phone specifications

2018 kwenda 2019 bado simu za tecno zina

-manufacturing technology ya 28nm wakati dunia ipo 7nm sasa hivi hapo kuna generation kibao imepitwa kutoka 28nm kwenda 22nm kwenda 16nm kwenda 14nm kwenda 10nm mpaka 7nm.
-wifi za B/G/N hapo hakuna AC
-TFT display
-protection NEG (haina gorilla glass)
-kama kawaida band 2 tu za 3g

Maelezo hayo machache nimeona hivyo.

Hio ndio.mnakuja kupigwa 200k na zaidi huku bongo
Samahani mkuu hivi hizo 28nm, 22nm zinamaanisha nini kwenye simu na nikitaka na mimi kujua hii simu ina 7nm yaani sasa kama ndio inayotamba nafanyaje kujua?
 
Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..

Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??

Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
Kuna mtu anawadhifa mkubwa hapa nchini na pesa anayo huku anatumia tecno
 
Samahani mkuu hivi hizo 28nm, 22nm zinamaanisha nini kwenye simu na nikitaka na mimi kujua hii simu ina 7nm yaani sasa kama ndio inayotamba nafanyaje kujua?
Hizi 28nm/27nm etc. kwa mtumiaji mtanzania ni mbwembwe tu zisizo na tija. Sisi bongo bora tuingie jf. Insta, fb, tweeter, whatsapp, viber na kamera kali tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mtu anawadhifa mkubwa hapa nchini na pesa anayo huku anatumia tecno
Cha msingi ni kuwa tu inakidhi vigezo / inakidhi mahitaji yako ambayo kwa watumiaji wa tanzania ni , voice calls, sms, social network apps na browsing tu.

Hizo maviti nyingine ni hazina lazima.

Waulize watumiaji wangapi wa samsung /apple wanatumia hizo apple pay, samsung pay, nfc etc.
 
Back
Top Bottom