Tecno Mobile ndani ya GSM Arena

Tecno Mobile ndani ya GSM Arena

Hii ni strategy tu ua GSM arena kuongeza Traffic ya Website yao thou wametengenezea Tecno platform kubwa ya kufanya biashara zaidi.

Hii ni Win win situation au Mutual benefit.
GSM arena watapata trafic kubwana sana dunia nzima na hivyo kuwaongezea mapato mara dufu na pia Tecno watauza sana Simu hivyo kuwapa matokeo chanya.

Lakini ubora wa simu za tecno bana una compromise. Simu za tecno ni Sub standard sana kila mtu analijua hili.

Anatumia very low quality chips. Ndo maana wachina wenzie kama OPPO na XIAOMI wame penetrate kwenye international market while they are emerging in Technology. Wakati tecno yupo miaka nenda rudi lakini ana poor product.

Nawashauri tecno siku moja watengeneze simu yao na waweke SOC ya Snapdragon.
Nimekusoma mkuu.

Kuna tofauti gani kati ya SUB-STANDARD na LOWER END ?
 
Hii ni strategy tu ua GSM arena kuongeza Traffic ya Website yao thou wametengenezea Tecno platform kubwa ya kufanya biashara zaidi.

Hii ni Win win situation au Mutual benefit.
GSM arena watapata trafic kubwana sana dunia nzima na hivyo kuwaongezea mapato mara dufu na pia Tecno watauza sana Simu hivyo kuwapa matokeo chanya.

Lakini ubora wa simu za tecno bana una compromise. Simu za tecno ni Sub standard sana kila mtu analijua hili.

Anatumia very low quality chips. Ndo maana wachina wenzie kama OPPO na XIAOMI wame penetrate kwenye international market while they are emerging in Technology. Wakati tecno yupo miaka nenda rudi lakini ana poor product.

Nawashauri tecno siku moja watengeneze simu yao na waweke SOC ya Snapdragon.
Redirect Notice

Screenshot_20181210-205753.png
 
Kama nina uwezo wa kumiliki simu ya ya 300k, kamwe siwezi kumiliki Tecno.
 
Hizo tecno zilizoingia gsm arena huku bongo hazihuziki sababu bei yake itakuwa juu.
 
Hii ni strategy tu ua GSM arena kuongeza Traffic ya Website yao thou wametengenezea Tecno platform kubwa ya kufanya biashara zaidi.

Hii ni Win win situation au Mutual benefit.
GSM arena watapata trafic kubwana sana dunia nzima na hivyo kuwaongezea mapato mara dufu na pia Tecno watauza sana Simu hivyo kuwapa matokeo chanya.

Lakini ubora wa simu za tecno bana una compromise. Simu za tecno ni Sub standard sana kila mtu analijua hili.

Anatumia very low quality chips. Ndo maana wachina wenzie kama OPPO na XIAOMI wame penetrate kwenye international market while they are emerging in Technology. Wakati tecno yupo miaka nenda rudi lakini ana poor product.

Nawashauri tecno siku moja watengeneze simu yao na waweke SOC ya Snapdragon.
Wamezizindua India/bangladesh na soko la karibu na hizo nchi, Gsmarena yupo Active sana hapo
 
Hizo tecno zilizoingia gsm arena huku bongo hazihuziki sababu bei yake itakuwa juu.
Hizo zote zipo na zimezagaa kitaa kama wanawake wa pwani na madera tu.

Phantom 8 ndio adimu kutokana na bei
 
nilitegemea uzi huu uwe ushafika page zaidi ya 30 mpaka sasa!
wenye simu zao siwaoni wakijumuika kuja piga vigelegele
 
Wamezizindua India/bangladesh na soko la karibu na hizo nchi, Gsmarena yupo Active sana hapo
Kwaiyo sasa tecno inauza bidhaa zake india?

nchi zote kubwa duniani si kunakuwa na chombo kinachopima simu zinazoingia nchini mwao. mifano ya hivyo vyombo ni kama TENAA (china), FCC (marekani) na nchi ambazo hazina vyombo vyake hutumia standard za vyombo vyengine, mfano India nae anatumia FCC.

ili simu iuzwe india inabidi iwe imefaulu vipimo kwanza ndo iingie sokoni,kwa maana hiyo kama tecno imeanza kuuzika huko India inamaana imefaulu vipimo ?(sar)level
 
Kwaiyo sasa tecno inauza bidhaa zake india?

nchi zote kubwa duniani si kunakuwa na chombo kinachopima simu zinazoingia nchini mwao. mifano ya hivyo vyombo ni kama TENAA (china), FCC (marekani) na nchi ambazo hazina vyombo vyake hutumia standard za vyombo vyengine, mfano India nae anatumia FCC.

ili simu iuzwe india inabidi iwe imefaulu vipimo kwanza ndo iingie sokoni,kwa maana hiyo kama tecno imeanza kuuzika huko India inamaana imefaulu vipimo ?(sar)level
Ndio mkuu lazima ipitie na ipimwe ila swali jengine muhimu zitakazouzwa huko ni model hizo hizo zitakazokuja huku?
 
Back
Top Bottom