Tecno Mobile ndani ya GSM Arena

Tecno Mobile ndani ya GSM Arena

Kwaiyo sasa tecno inauza bidhaa zake india?

nchi zote kubwa duniani si kunakuwa na chombo kinachopima simu zinazoingia nchini mwao. mifano ya hivyo vyombo ni kama TENAA (china), FCC (marekani) na nchi ambazo hazina vyombo vyake hutumia standard za vyombo vyengine, mfano India nae anatumia FCC.

ili simu iuzwe india inabidi iwe imefaulu vipimo kwanza ndo iingie sokoni,kwa maana hiyo kama tecno imeanza kuuzika huko India inamaana imefaulu vipimo ?(sar)level
Long live Duro.

Washakubali sasa, ngoja tusubiri wakuje na kisingizio mpya
 
Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..

Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??

Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
mkuu kuna vi samsung vya kijinga saiv vimekaa kitecno tecno..kwa mfano grand prime pro yani vyepesi kioo nadhan hata sio amoled
 
mkuu kuna vi samsung vya kijinga saiv vimekaa kitecno tecno..kwa mfano grand prime pro yani vyepesi kioo nadhan hata sio amoled
Hizo ni lower end samsung , Kashajua watu wanapenda jina sasa inabidi awatengezee vya bei rahisi tu mana hakuna namna
 
Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..

Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??

Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
Hv kuna Samsung gani kali Og unaipata chini ya 5k?sasa check tecno ya 4 to 5 k viwango vyake ni vya hz simu zako za misifa za 8k kwenda juu.
 
Hv kuna Samsung gani kali Og unaipata chini ya 5k?sasa check tecno ya 4 to 5 k viwango vyake ni vya hz simu zako za misifa za 8k kwenda juu.
Ndio maana nakwamba watu kumiliki tecno nyingi sio mapenzi kwa brand ya tecno bali ni uchumi tu
 
Ngoja nipambane na Coolpad yangu.
Screenshot_20181211-080946.jpeg
Screenshot_20181211-081016.jpeg
Screenshot_20181211-081023.jpeg
 
Hv kuna Samsung gani kali Og unaipata chini ya 5k?sasa check tecno ya 4 to 5 k viwango vyake ni vya hz simu zako za misifa za 8k kwenda juu.
samsung nzuri ni j2 j5 na j6 za kabla ya mwaka 2018
 
ipitishwe bungeni , wapige ban utumiaji wa tekno

Viva Samsung
 
Bei hiyo ni ya jumia, ukienda dukani unakuta ni cheap kuliko. Niliwahi kuchungulia huko bei ya Tecno camon x, cha ajabu nikaenda kuinunua dukani kwa bei chee zaidi
Unachosema ni sahihi kabisa. Mimi huwa jumia natumia kama reference tu. Nikiona hapo kitu ni 100k najua chimbo itakua ni kwenye 80k[emoji1]
 
Sasa hiyo bei usikute hiyo simu ni laki sita au tano na ushee, huko ukinunua au kwenda Tigoshop ujiandae kuuza kwa cha juu
Tigo shop/jumia wote ni wapigaji tu.

Sehemu pekee yenye kitonga ni aliexpress.

Tz biashara ya mtandao ina gharama kubwa kuliko maduka ya kawaida
 
Back
Top Bottom