Gsm arena na vigezo vyake

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
4,196
4,552
wakuu habari ,Najitokeza jukwaani tena kuomba msaada wenu wa kimaarifa.Imekuwa kama kawaida kwamba ukigugo simu nying utaona specification za uhakika ambazo ni sawa kabisa na features zote za simu husika hasa kupitia gsm arena .ila kuna hii kampuni ye2 ya tecnO ,hawa jamaa hawapo hata kwenye hyo gsmarena na ukichek simu zao naona zina ubora wa juu .Je NI kigezo gani hutumika kwa simu kuweka specification za sm gsmarena
 
Mi , sidhani km hawa Tecno wapo worldwide marketing zaidi ya kuuza hizi cmu zao east africa na baadhi ya maeneo ya west africa....ukiangalia hawa ni moja ya makampuni yanayochipukia katika tecnology ya cmu , sidhani kama wanaweza kuingia kwenye record za GSM Arena....ni mawazo yangu tu..
 
Mi , sidhani km hawa Tecno wapo worldwide marketing zaidi ya kuuza hizi cmu zao east africa na baadhi ya maeneo ya west africa....ukiangalia hawa ni moja ya makampuni yanayochipukia katika tecnology ya cmu , sidhani kama wanaweza kuingia kwenye record za GSM Arena....ni mawazo yangu tu..

Mkuu Yoso kigezo chako kinaweza kua kweli, ila kuna kampuni linatengeneza simu za Xiaomi nalo ni la Asia huko (nadhani China), simu zao wamezitarget maeneo flani sio worldwide lakini zipi pale gsmarena. Hawa jamaa (gsmarena) sijui why Tecno wanamfanyia hila?? Tumuombe chief-mkwawa au C6 watu dadavulie kidogo..
 
Last edited by a moderator:
mkuu ukijibu maswali haya itakua rahisi sana.
-headquater za tecno zipo wapi
-office zao zipo wapi
-wanatumia kiwanda gani kutengeneza simu
-research na development zinafanyika wapi

kama maswali ya juu hayana majibu inamaana wanafall kwenye kundi la simu za kichina ambazo wananunua simu na kubandika majina tu
 
mkuu ukijibu maswali haya itakua rahisi sana.
-headquater za tecno zipo wapi
-office zao zipo wapi
-wanatumia kiwanda gani kutengeneza simu
-research na development zinafanyika wapi

kama maswali ya juu hayana majibu inamaana wanafall kwenye kundi la simu za kichina ambazo wananunua simu na kubandika majina tu

hizo simu za kichina wananunua kutoka wapi mkuu, nieleweshee kidogo
 
hizo simu za kichina wananunua kutoka wapi mkuu, nieleweshee kidogo

kwenye viwanda vikubwa vya china wanaagizia order na unawapa na brand name yako, zipo inye za nigeria, kuna mjamaa wa congo ana zake wapo wengi wanafanya hivyo vitu.

kuna tablet/simu za dola 45 na ukinunua kwa wingi kama unit 20,000 hv wanakuuzia kama dola 35(around 60,000)

sasa kama unapata tablet ya wifi, capative screen, dual core na memory 4gb kwa sh 60,000 tu, kwanini kama una mtaji usifanye order ya tablet milion 1 na kuzipa jina ziitwe phantom?

soma hii thread inaitwa hardware is dead ni nzuri itakupa mwanga wa hali halisi ya china
Hardware is dead | VentureBeat
 
Back
Top Bottom