Tecno Mobile ndani ya GSM Arena

Tecno Mobile ndani ya GSM Arena

Philipo D. Ruzige

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2015
Posts
9,429
Reaction score
27,131
Hello Techs,

Naona sasa ule ubishi wa kiwango cha ubora wa simu za TECNO kinaelekea mwisho.

Uliwahi anzishwa uzi humu, watu fulani wakakomaa kuwa simu za Tecno hazipo GSM ARENA hivyo hazina ubora wa kuuzika ulaya. USA etc.

Sasa GSM ARENA wameziweka rasmi simu za TECNO , je mna jipya jingine?[emoji23][emoji23][emoji23]

Napokea povu la aina yoyote....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Karibuni. Hii battle imefufuka upya

Source: GSM ARENA - All Tecno phones
 
Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..

Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??

Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
 
Sijui ni ubishi wangu bado napata ukakasi kuzielewa hizi cm zenu hizi japo natambua kua ni mkombozi wenu lkn mtaniwia radhi tu
 
  • Thanks
Reactions: sab
Hello Techs,

Naona sasa ule ubishi wa kiwango cha ubora wa simu za TECNO kinaelekea mwisho.

Uliwahi anzishwa uzi humu, watu fulani wakakomaa kuwa simu za Tecno hazipo GSM ARENA hivyo hazina ubora wa kuuzika ulaya. USA etc.

Sasa GSM ARENA wameziweka rasmi simu za TECNO , je mna jipya jingine?[emoji23][emoji23][emoji23]

Napokea povu la aina yoyote....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Karibuni. Hii battle imefufuka upya

Source: GSM ARENA - All Tecno phones
Ngoja nianze mimi na hili povu.

Wakiweka Gsmarena si advantage kwa tecno kama unavyofikiri bali ndio wanazidi kuaibika sababu jinsi specification zinavyokuwa revealed ndio jinsi unavyoona ni jinsi gani zilivyo mbaya.

Nimechukua tu simu ya kwanza
Tecno Pop 1s - Full phone specifications

2018 kwenda 2019 bado simu za tecno zina

-manufacturing technology ya 28nm wakati dunia ipo 7nm sasa hivi hapo kuna generation kibao imepitwa kutoka 28nm kwenda 22nm kwenda 16nm kwenda 14nm kwenda 10nm mpaka 7nm.
-wifi za B/G/N hapo hakuna AC
-TFT display
-protection NEG (haina gorilla glass)
-kama kawaida band 2 tu za 3g

Maelezo hayo machache nimeona hivyo.

Hio ndio.mnakuja kupigwa 200k na zaidi huku bongo
 
Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..

Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??

Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
Mkuu lile povu la kutokuonekana GSM arena limesha sasa eenh...
 
Hizi zote ni juhudi za serikali.
Screenshot_20181210-194545.jpeg
 
Ngoja nianze mimi na hili povu.

Wakiweka Gsmarena si advantage kwa tecno kama unavyofikiri bali ndio wanazidi kuaibika sababu jinsi specification zinavyokuwa revealed ndio jinsi unavyoona ni jinsi gani zilivyo mbaya.

Nimechukua tu simu ya kwanza
Tecno Pop 1s - Full phone specifications

2018 kwenda 2019 bado simu za tecno zina

-manufacturing technology ya 28nm wakati dunia ipo 7nm sasa hivi hapo kuna generation kibao imepitwa kutoka 28nm kwenda 22nm kwenda 16nm kwenda 14nm kwenda 10nm mpaka 7nm.
-wifi za B/G/N hapo hakuna AC
-TFT display
-protection NEG (haina gorilla glass)
-kama kawaida band 2 tu za 3g

Maelezo hayo machache nimeona hivyo.

Hio ndio.mnakuja kupigwa 200k na zaidi huku bongo

Umefanya nimecheka sana, [emoji23][emoji23][emoji23] yaani hii ni simu ya mwaka huu lakini si ajabu imezidiwa na hii iPhone SE yangu ya miaka kadhaa iliyopita
 
Ngoja nianze mimi na hili povu.

Wakiweka Gsmarena si advantage kwa tecno kama unavyofikiri bali ndio wanazidi kuaibika sababu jinsi specification zinavyokuwa revealed ndio jinsi unavyoona ni jinsi gani zilivyo mbaya.

Nimechukua tu simu ya kwanza
Tecno Pop 1s - Full phone specifications

2018 kwenda 2019 bado simu za tecno zina

-manufacturing technology ya 28nm wakati dunia ipo 7nm sasa hivi hapo kuna generation kibao imepitwa kutoka 28nm kwenda 22nm kwenda 16nm kwenda 14nm kwenda 10nm mpaka 7nm.
-wifi za B/G/N hapo hakuna AC
-TFT display
-protection NEG (haina gorilla glass)
-kama kawaida band 2 tu za 3g

Maelezo hayo machache nimeona hivyo.

Hio ndio.mnakuja kupigwa 200k na zaidi huku bongo
Hawezi kukuelewa hichi ulichoandika
 
Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..

Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??

Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
mimi nina samsung, tecno na old blackberry...

samsung ni bora sana kuliko tecno, ila ilinilazimu kununua tecno sbb ya utunzaji moto.... sisi watu wa porini, tecno haipukiki... kuna factors nyingi katika kuamua ipi ni brand bora
 
Hello Techs,

Naona sasa ule ubishi wa kiwango cha ubora wa simu za TECNO kinaelekea mwisho.

Uliwahi anzishwa uzi humu, watu fulani wakakomaa kuwa simu za Tecno hazipo GSM ARENA hivyo hazina ubora wa kuuzika ulaya. USA etc.

Sasa GSM ARENA wameziweka rasmi simu za TECNO , je mna jipya jingine?[emoji23][emoji23][emoji23]

Napokea povu la aina yoyote....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Karibuni. Hii battle imefufuka upya

Source: GSM ARENA - All Tecno phones
Hii ni strategy tu ua GSM arena kuongeza Traffic ya Website yao thou wametengenezea Tecno platform kubwa ya kufanya biashara zaidi.

Hii ni Win win situation au Mutual benefit.
GSM arena watapata trafic kubwana sana dunia nzima na hivyo kuwaongezea mapato mara dufu na pia Tecno watauza sana Simu hivyo kuwapa matokeo chanya.

Lakini ubora wa simu za tecno bana una compromise. Simu za tecno ni Sub standard sana kila mtu analijua hili.

Anatumia very low quality chips. Ndo maana wachina wenzie kama OPPO na XIAOMI wame penetrate kwenye international market while they are emerging in Technology. Wakati tecno yupo miaka nenda rudi lakini ana poor product.

Nawashauri tecno siku moja watengeneze simu yao na waweke SOC ya Snapdragon.
 
Back
Top Bottom