Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,131
Hello Techs,
Naona sasa ule ubishi wa kiwango cha ubora wa simu za TECNO kinaelekea mwisho.
Uliwahi anzishwa uzi humu, watu fulani wakakomaa kuwa simu za Tecno hazipo GSM ARENA hivyo hazina ubora wa kuuzika ulaya. USA etc.
Sasa GSM ARENA wameziweka rasmi simu za TECNO , je mna jipya jingine?[emoji23][emoji23][emoji23]
Napokea povu la aina yoyote....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibuni. Hii battle imefufuka upya
Source: GSM ARENA - All Tecno phones
Naona sasa ule ubishi wa kiwango cha ubora wa simu za TECNO kinaelekea mwisho.
Uliwahi anzishwa uzi humu, watu fulani wakakomaa kuwa simu za Tecno hazipo GSM ARENA hivyo hazina ubora wa kuuzika ulaya. USA etc.
Sasa GSM ARENA wameziweka rasmi simu za TECNO , je mna jipya jingine?[emoji23][emoji23][emoji23]
Napokea povu la aina yoyote....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibuni. Hii battle imefufuka upya
Source: GSM ARENA - All Tecno phones