Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,112
TCRA imetoa mwongozo wa maudhui ya vipindi vya redio na televisheni kipindi cha maombolezo ya kitaifa ambapo vipindi vinatakiwa kuwa vya maombolezo na vituo vya kijamii na ki-wilaya vijiunge na TBC au kituo chenye leseni ya kitaifa ili kuendelea kuwahabarisha Wananchi.