Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Watanzania tuelewane hili jambo.
Msiba wa mzee Mwinyi ni wa Kitaifa kama tulivyoyangaziwa na CIC SSH.
Tuliona kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu tuliona Vituo vya Televisheni wakiboleza kwa siku zile 5 za msiba. Nimepita kwenye channel ya DSTV 388 hakuna dalili wala kiashiria kwamba wapo kwenye maombolezo ya kitaifa
Huyu aliyefariki ni Rais Mstaafu. Maana yake ni mkuu wa nchi ambaye aliongoza taifa hili la watu wenye imani tofauti na wasioamini.
Tofauti zetu za kiimani na kiitikadi na kinasaba zisituvue UTU na Uafrika wetu
Msiba wa mzee Mwinyi ni wa Kitaifa kama tulivyoyangaziwa na CIC SSH.
Tuliona kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu tuliona Vituo vya Televisheni wakiboleza kwa siku zile 5 za msiba. Nimepita kwenye channel ya DSTV 388 hakuna dalili wala kiashiria kwamba wapo kwenye maombolezo ya kitaifa
Huyu aliyefariki ni Rais Mstaafu. Maana yake ni mkuu wa nchi ambaye aliongoza taifa hili la watu wenye imani tofauti na wasioamini.
Tofauti zetu za kiimani na kiitikadi na kinasaba zisituvue UTU na Uafrika wetu