TBS na TFDA wapewe waarabu tu, Bidhaa bandia madukani ni nyingi sana na zingine ni vyakula, magonjwa yasiyo ambukiza hayata isha

polokwane

JF-Expert Member
Dec 16, 2018
3,362
5,809
Na haya yote ni madhara ya kuruhusu uwekezaji wa wachina kiholela holela , kuna viwanda bubu vingi sana vina zalisha bidhaa bandia hapa dar es salaam na vingi ni vya wachina TBS wapo TFDA wapo ,

Wao wanakaa maofisini kusubiri mtu awape mchongo ndio wajifanye kuita waandishi kujifanya wapo kazini lakini kuna bidhaa nyingi sana bandia mitaan hadi vyakula na madawa kabisa na vina zalishwa hapa hapa nchini na vinaenda kwa mlaji.

Nchi hii tunaweza kusimamia kitu gani kwa ufasaha ? Au tuendelee kusaidiwa na waarabu maana tumeshindwa.

Hivi vitu bandia vina madhara makubwa sana kiafya ndio maana magonjwa yasiyo ambukiza nchi hii yatazidi kuongezeka mara dufu usalama wa raia na afya za raia havizingatiwi wakati mamlaka zinazo husika na swala hilo zipo zina kula mshahara tu.
 
Vitu bandia

Visivyo na ubora

Hivi husababishwa na umasikini ulokithiri.

Ili kuondoa hilo inabidi kwanza umasikini uondolewe kisha watu waanze leta vitu bora.
 
Asee umeniwahi kuleta huu Uzi,yani Tanzania kwa sasa limekuwa shamba LA bibi haswa kila kitu ni fake-hata uwe na pesa zako baado utapata ugumu kupata bidhaa original.

Imagine vifaa vya kieletronic kama simu,tv, komputa ukinunua fake watu wataanza kuumwa macho kwa mionzi.

Bado mwenye madawa ya kilimo na dawa za binadamu na vyakula yani ni fake fake fake.
 
Vitu bandia

Visivyo na ubora

Hivi husababishwa na umasikini ulokithiri.

Ili kuondoa hilo inabidi kwanza umasikini uondolewe kisha watu waanze leta vitu bora.
Hapa unaweza ukawa maskini lakini ukaweza kupambana na hili la vitu bandia mchina sio mtu wa kujali utu
 
Asee umeniwahi kuleta huu Uzi,yani Tanzania kwa sasa limekuwa shamba LA bibi haswa kila kitu ni fake-hata uwe na pesa zako baado utapata ugumu kupata bidhaa original.

Imagine vifaa vya kieletronic kama simu,tv, komputa ukinunua fake watu wataanza kuumwa macho kwa mionzi.

Bado mwenye madawa ya kilimo na dawa za binadamu na vyakula yani ni fake fake fake.
Yaani karini 75% ya bidhaa zilizopo kariakoo ni bandia na hili ni tatizo la serikali kufungamana na wafanya biashara na sio kuwasimamia wafanya biashara
 
Yaani karini 75% ya bidhaa zilizopo kariakoo ni bandia na hili ni tatizo la serikali kufungamana na wafanya biashara na sio kuwasimamia wafanya biashara
Ni asilimia 95 ni bandia au zisizo na kiwango.
BIC walikuwa wanaleta kalamu mzuri sana, Mchina akaingilia soko.

Topaz kwa sasa hawezi shindana pamoja na kiwa na nyembe bora
 
Ni asilimia 95 ni bandia au zisizo na kiwango.
BIC walikuwa wanaleta kalamu mzuri sana, Mchina akaingilia soko.

Topaz kwa sasa hawezi shindana pamoja na kiwa na nyembe bora
Yaani TBS na TFDA zibinafsishwe kwakweli hazina maana kuwepo chini ya mswahili
 
Na haya yote ni madhara ya kuruhusu uwekezaji wa wachina kiholela holela , kuna viwanda bubu vingi sana vina zalisha bidhaa bandia hapa dar es salaam na vingi ni vya wachina TBS wapo TFDA wapo ,

Wao wanakaa maofisini kusubiri mtu awape mchongo ndio wajifanye kuita waandishi kujifanya wapo kazini lakini kuna bidhaa nyingi sana bandia mitaan hadi vyakula na madawa kabisa na vina zalishwa hapa hapa nchini na vinaenda kwa mlaji.

Nchi hii tunaweza kusimamia kitu gani kwa ufasaha ? Au tuendelee kusaidiwa na waarabu maana tumeshindwa.

Hivi vitu bandia vina madhara makubwa sana kiafya ndio maana magonjwa yasiyo ambukiza nchi hii yatazidi kuongezeka mara dufu usalama wa raia na afya za raia havizingatiwi wakati mamlaka zinazo husika na swala hilo zipo zina kula mshahara tu.
Nilienda kununua bati pale xxxxx kiwandani na sasa zimepauka
 
Na haya yote ni madhara ya kuruhusu uwekezaji wa wachina kiholela holela , kuna viwanda bubu vingi sana vina zalisha bidhaa bandia hapa dar es salaam na vingi ni vya wachina TBS wapo TFDA wapo ,

Wao wanakaa maofisini kusubiri mtu awape mchongo ndio wajifanye kuita waandishi kujifanya wapo kazini lakini kuna bidhaa nyingi sana bandia mitaan hadi vyakula na madawa kabisa na vina zalishwa hapa hapa nchini na vinaenda kwa mlaji.

Nchi hii tunaweza kusimamia kitu gani kwa ufasaha ? Au tuendelee kusaidiwa na waarabu maana tumeshindwa.

Hivi vitu bandia vina madhara makubwa sana kiafya ndio maana magonjwa yasiyo ambukiza nchi hii yatazidi kuongezeka mara dufu usalama wa raia na afya za raia havizingatiwi wakati mamlaka zinazo husika na swala hilo zipo zina kula mshahara tu.
binafsi naunga mkono hii taasisi kubwa yenye dhamana kubwa kwa afya zetu na uchumi wa nchi hii inapwaya sana, na tatizo kubwa viongozi wengi nadhani ni wale wa kupewa kwa ajili ya kulipa fadhila au kurejesha chochote baada ya kuteuliwa, POOR TIBIESI
 
Back
Top Bottom