TBS Na TFDA hawatakiwi kulipwa mishahara mikubwa wapunguziwe

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,150
11,196
Ni muda muafaka Wafanyakazi wa hizi taasisi kupunguzwa or kupunguziwa mishahara kabisa kulingana na utendaji wao wa kazi usioridhisha

Kwa sasa Tz tukubali kuwa tumekuwa ni Dampo la kutupiwa vitu feki na vibovu kutoka China, Mchina analeta bidhaa nyingi sana feki tz, Kuanzia Kariakoo na maduka mengi nchi nzima kumezagaa bidhaa ambazo zipo chini ya kiwango na nyingi ni feki, ukipita kariakoo vitu vingi ni feki , kuanzia nguo, viatu, vifaa vya umeme ni feki , unanunua nguo inafuliwa mara mbili haivaliki tena, vifaa vya umeme havimalizi mwaka vinaungua

Hata kama mchina analeta vutu kilingana na hali halisi ya kipato lakini kuna bidhaa nyingi hazifai hata kununua ni feki ni heri asizilete kabisa

Je Tbs ipo kazini au wamelala, sasa wameajiriwa kwa kazi gani kama bado tunaletewa bidhaa feki na zimezagaa madukani na wao hawafuatilii , je vitu feki vinavyotoka China hadi kuingia tz kama vinapitia Bandarini je kuna utaratibu wa kuvipima kabla havijamfikia mnunuzi ambae ni mwananchi?, Na kama upo hivi vitu feki vinapenyaje hadi vinamfikia mlaji?

Ukiingia kwnye maduka ya vipodozi kuna vipidozi na parfume feki zimezagaa hovyo na hazina nembo ya TBS , je hizi bidhaa zimepitia wapi na hamuoni kuwa ni hatari kwa watumiaji , ukiingia kwenye masupermarket na maduka mengi kuna vyakula vya makopo vingi sana vinaonekana vimetengenezwa nnje je TFDA huwa wana mda wa kukagua na kuvifanyia tafiti kuwa ni salama kwa mlaji or vinaingia tu moja kwa moja pasipo kuguswa, je usalama upo wapi

Watu wameibuka now wanauza mtandaoni, madawa ya kuongeza shepu,makalio,uume , nguvu za kiume, kuna manuteients wanatumia mabaunsa yanakaa kwenye ndoo zinauzwa hivyo hovyo na sijui kama hzi mamlaka zinafuatilia hivi vitu na kuvitokomeza maana ndio kazi zao ila wapo ofisini wanakula mishahara

Ni muda muafaka hizi taasisi zifuatiliwe utendaji wake wa kazi kama utendaji wao wa kazi sio mzuri ni heri wafanyakazi wapunguzwe or kupunguziwa mishahara maana wanatumia kodi zetu kwa ajili ya kutulinda ila bado bidhaa feki zimezagaa mitaani
 
Kumbuka mchina siyo beberu. Huyo ni ndugu na huwa kwenye mikutano yetu ya chama yupo kama diaspora.
 
Utazoea tu Mkuu. Kula kwa urefu wa kamaba yako. Kisichotakiwa ni kuvimbewa tu!
 
Ni muda muafaka Wafanyakazi wa hizi taasisi kupunguzwa or kupunguziwa mishahara kabisa kulingana na utendaji wao wa kazi usioridhisha

Kwa sasa Tz tukubali kuwa tumekuwa ni Dampo la kutupiwa vitu feki na vibovu kutoka China, Mchina analeta bidhaa nyingi sana feki tz, Kuanzia Kariakoo na maduka mengi nchi nzima kumezagaa bidhaa ambazo zipo chini ya kiwango na nyingi ni feki, ukipita kariakoo vitu vingi ni feki , kuanzia nguo, viatu, vifaa vya umeme ni feki , unanunua nguo inafuliwa mara mbili haivaliki tena, vifaa vya umeme havimalizi mwaka vinaungua

Hata kama mchina analeta vutu kilingana na hali halisi ya kipato lakini kuna bidhaa nyingi hazifai hata kununua ni feki ni heri asizilete kabisa

Je Tbs ipo kazini au wamelala, sasa wameajiriwa kwa kazi gani kama bado tunaletewa bidhaa feki na zimezagaa madukani na wao hawafuatilii , je vitu feki vinavyotoka China hadi kuingia tz kama vinapitia Bandarini je kuna utaratibu wa kuvipima kabla havijamfikia mnunuzi ambae ni mwananchi?, Na kama upo hivi vitu feki vinapenyaje hadi vinamfikia mlaji?

Ukiingia kwnye maduka ya vipodozi kuna vipidozi na parfume feki zimezagaa hovyo na hazina nembo ya TBS , je hizi bidhaa zimepitia wapi na hamuoni kuwa ni hatari kwa watumiaji , ukiingia kwenye masupermarket na maduka mengi kuna vyakula vya makopo vingi sana vinaonekana vimetengenezwa nnje je TFDA huwa wana mda wa kukagua na kuvifanyia tafiti kuwa ni salama kwa mlaji or vinaingia tu moja kwa moja pasipo kuguswa, je usalama upo wapi

Watu wameibuka now wanauza mtandaoni, madawa ya kuongeza shepu,makalio,uume , nguvu za kiume, kuna manuteients wanatumia mabaunsa yanakaa kwenye ndoo zinauzwa hivyo hovyo na sijui kama hzi mamlaka zinafuatilia hivi vitu na kuvitokomeza maana ndio kazi zao ila wapo ofisini wanakula mishahara

Ni muda muafaka hizi taasisi zifuatiliwe utendaji wake wa kazi kama utendaji wao wa kazi sio mzuri ni heri wafanyakazi wapunguzwe or kupunguziwa mishahara maana wanatumia kodi zetu kwa ajili ya kutulinda ila bado bidhaa feki zimezagaa mitaani
Wasipunguziwe mshahara, wazuie hizo bidhaa tu zisizo kidhi ubora.
 
Mbona haukutaja kabisa hiyo mshahara mikubwa? Ni hadithi ya alfa lela ulela tu?
Ana ndugu zake au washikaji zake wako huko so anaona wivu wao kupewa mishahara mikubwa ingali yeye holaa...

Kwanini asiseme solution nyingine solution iwe kuwapunguzia mishahara tu?
 
TFDA ni non existent. Issues zote za usimamizi wa ubora na usalama wa chakula ziko TBS

TMDA wmebaki na udhibiti wa dawa na vifaa tiba.

Haya, tuendelee.
 
Weka Numbers please.....

Acha uswahili na stori za vijiwe vya kahawa
 
Back
Top Bottom