Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 481
Joyce Masunga Katibu mkuu wa CCM Mwanza ni kichekesho analazimisha u-MC wakati sauti hana anakoroma kama kitimoto. Uso umebabuka kama walivyo wanawake wengi wa CCM wachumia tumbo
Weka picha basi
Joyce Masunga Katibu mkuu wa CCM Mwanza ni kichekesho analazimisha u-MC wakati sauti hana anakoroma kama kitimoto. Uso umebabuka kama walivyo wanawake wengi wa CCM wachumia tumbo
Anatakiwa kutenda sio kuongeza kwa hisia kaliSure mkuu.Jamaa anaongea kwa hisia kali sana dahhhhh.
Ungewauliza wenyewe?Mkuu, hivi siku hizi kuna mashuka meusi?
ndani ya ccm cheo hutolewa sio kwa uwezo bali kwa kujuana!
Ameharibu alipoanza suala la katiba,ameanza kuchanganya matusi.mwigulu ameongea maneno ya hekima sana
Year,hii inajionyesha kwenye kujibu oyee!Inaelekea wengi si walengwa.Sauti zinasikika za mama zetu tu.Mbona hawampi ushirikiano Tanzania oyeeeee watu ziiiii
Nape alisema katiba itapatikana bila UKAWA sasa shida iko wapi si waende wakapitishe hiyo katiba mbona wanatoka sana mapovu kwa vitu vyepesi hivi?
Ameharibu alipoanza suala la katiba,ameanza kuchanganya matusi.
Ameen! Ramadhan Kareem
Haya matusi na upotoshaji ya hili gaidi kwa ukawa ni hatari kwa mustakabali wa taifa