CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 946
Nasikia kuna kibabu kinapenda maandamano kiasi kwamba kikikasirika chumbani kwake na mkewe kinaandamana kuzunguka kitanda!!!!!!
watu ziii,ni noumer,
Watu wengi sana! Hongera Mwigulu
mkuu inaonekana wamesombwa toka vijijini kwa malori, hakuna jipya hapo ni usanii mtupu..Hizi tshirt wamenunua au..? halafu mbona hawashangilii? TBC mna swali la kujibu!!
Babu Slaa.Nasikia kuna kibabu kinapenda maandamano kiasi kwamba kikikasirika chumbani kwake na mkewe kinaandamana kuzunguka kitanda!!!!!!
Mbona hawampi ushirikiano Tanzania oyeeeee watu ziiiii
Mkutano mgumu sana kwa mwigulu, hakuna kitu kigumu kwa mwanasiasa kama kuhutubia watu wanaokutazma tu kama wapo msibaniNazidi kuwapa hongera Mwanza jamaa anatokwa na povu mko kimya wala hamshangilii napenda sana piga T-shirt, kofia, pilau usafiri wa bure ila akili mukichwa big up sana mnanifurahisha kwa vile naendelea kuangalia LIVEEEEEEEEEEEEEEE
Mbona hawampi ushirikiano Tanzania oyeeeee watu ziiiii
ndani ya ccm cheo hutolewa sio kwa uwezo bali kwa kujuana!Huyu mwigulu ni ngifi kweli eti anataka kuanzisha serekali ya viburudisho
Huu uwaziri alipewa zawadi huyu dogo sio mzima huyu!
Hii salaam ya Tanzania oye imeanza lini tena Hahahaha! Watu wamezindaaa kimyaaa
kumbeeeee!!!!!babu slaa.
Fuatilia kama unatazama au unasikiliza TBC
mambo aliyoongea mwigulu yanatafakarisha ndo maana kila mtu yuko kimya na makini.