TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

Asalaam aleykum ndugu yangu punguza ukali wa maneno yako kumbuka kila ulifanyalo siku ya mwisho utaulizwa!

Siyo vizuri kutoa lugha ya matusi kwani mwenye kutukana hujidhalilisha yeye mwenyewe pamoja na wazazi wake!

Ramadhan Kareem
Wacha unafki wewe ilo ndio umeliona ila ufisadi hujauona..
Ukiwa ccm lazima uwe mnafki..
 
Mwigulu you are smart,umezungumza mambo yanayogusa maisha ya mtanzania halisi, Mungu akujaalie afya njema ili uweze kutimiza malengo uloyaweka kwa watanzania wenzako!

Kwako matusi ndo usmart. Anamtukana dr slaa wewe unaleta uswaiba wako hapo.nenda kanisani keaho uombewe usukule ukutoke
 
Kama kiongozi wa chama ana akili ya namna hii sasa wanachama watakuwa na akili gani?

ha ha ha! hao kina Msalani, Le mutuz, Lizabon, Faiza fox etc ndo full majanga subiri watavyokuja kuwa ilikuwa hotuba makini
 
Ukiona kobe kainama,ujue anatunga sheria.Wanamwanza wamekaa kimya wanatafakari majibu wanayo wenyewe,kama wanatubu vile?kama wanajuta vile?kama wanasikitika vile?kama yamewaingia vile?kama hotuba imewagusa vile? Kweli wako njiapanda maana waliipenda zaidi Chadema nayo ikamtema Zito kukiwa na hoja ya kikabila na ufisadi?CCM nayo tuhuma za ufisadi!
Wako Njiapanda,"kimya kingi kina mshindo mkubwa”
Kwa leo ......................hamna mwenye jibu!
KOBE AKIAMKA...........
-Ila jamaa lizalendo maana hata Bajeti yao aliwabana wabunge mpaka misamaha ikafutwa!
 
ukawa wametia aibu mchakato wa katiba

Na mwigulu ameaibika kutoa hotuba mbele ya wananchi waliolazimishwa kuja kwenye mkutano unaosigina maoni yao juu ya katiba waitakayo na majibu yake kayapata wamekaa kimya kwa vile ameongea kile asichokitaka shame on you ccm
 
Nimemusikiliza Mwigulu tangu mwanzo hadi mwisho. Ukiondoa suala la katiba kusema kweli umeongea vizuri, na body language inaonesha kweli he means what is talking.maswali yangu, je anayo meno ya kufanya hayo aliyoyasema? Pili hata kama anayo meno. Je CCM watamurubusu kutekeleza hayo anayokusudia?

Pili kuhusu suala na katiba mpya, ingawa amepotosha kwa kiwango kikubwa. Lakini kama Mwingulu hana uonga wa kusema ukweli kama alivyodai, kwanini basi CCM wasimtume Mwingulu kwenda kufanya mdahalo wa wazi na wenzake! Maana mpaka sasa hivi tumeona CCM skins Wassira, Kinana wakiogopa kwenda Serena kufanya mdahalo na akina Tundu Lissu.

Mwigulu tunakuomba uiondolee hii aibu CCM kama kweli una hoja zenye mantiki za kutetea S2 ili watanzania tuchambue pumba na mchele
 
Ni wapi alipomtukana? BABU ni matusi? Kwani ni uongo BABU Slaa ni mpenzi wa maandamano yasiyo na tija?

chenye tija ni kuwalazimisha watu kuvaa T-shirt na kuja mkutano wasioutaka haya wamekuja wamekaa kimya mmefaidika nini raha sana umma wote umeona kilichoendelea Mwanza mtashindana sana lakini hamtashinda poleni nadhani TBCCM walitamani kukatisha kipindi
 
Mwigulu ni kiongozi wa kutumainiwa, Akisimama kuongea hataki porojo, hotuba zake zinagusa maisha halisi ya mtanzania.

Tunawashukuru watu wa Mwanza kwa kumpa ushirikiano mkubwa!
Tumia ubongo hakuna ushirikiano tuliompa pale tulikuwa tunasubiri amalize tukafungue biashara zetu tulizolazimishwa kuzifunga kuja kujaza mkutano wake
 
Nimemusikiliza Mwigulu tangu mwanzo hadi mwisho. Ukiondoa suala la katiba kusema kweli umeongea vizuri, na body language inaonesha kweli he means what is talking.maswali yangu, je anayo meno ya kufanya hayo aliyoyasema? Pili hata kama anayo meno. Je CCM watamurubusu kutekeleza hayo anayokusudia?

Pili kuhusu suala na katiba mpya, ingawa amepotosha kwa kiwango kikubwa. Lakini kama Mwingulu hana uonga wa kusema ukweli kama alivyodai, kwanini basi CCM wasimtume Mwingulu kwenda kufanya mdahalo wa wazi na wenzake! Maana mpaka sasa hivi tumeona CCM skins Wassira, Kinana wakiogopa kwenda Serena kufanya mdahalo na akina Tundu Lissu.

Mwigulu tunakuomba uiondolee hii aibu CCM kama kweli una hoja zenye mantiki za kutetea S2 ili watanzania tuchambue pumba na mchele
 
Sikutaka kuchangia hapa na pia nimizima TBC na kuangalia stationa zingine, ila wewe umenifanya nichangie.

Kwanza naona mkutano wa ccm wala si wa ki serikali. Uwanja una sare za ccm ambao huenda mikutanoni kwa malipo na mujibu wa mila za ccm.

Ninathibitisha kwamba seriakli ya ccm haitafanya mkakati wowote wenye lengo halisi la kufuta ujinga Tanzania kwa sababu ujinga huo ndio mtaji wa umangimeza wa ccm.

Ninawasi wasi kama ccm itaendelea, tunakoelekea hakutakuwa na haja ya mahakama. Kesi zote zitahukumiwa kwenye mikutano ya hadhara kwa kura za ndiyo ama hapana.

Hainiingii akilini mwigulu kwenda kuzungumza habari ya deni la taifa kwenye mkutano uliojaa watu mbumbubu wasiojua masuala ya uchumi wala takwimu za maendeleo na matumizi ya fedha serikalini. Anaacha kuongea na wasomi wanaohoji kitaalamu ongezeko la deni la taifa kwa kuwianisha kiwango na ukusanyaji mapato na gharama investment zilizofanyika, anakimbilia kwa watu wasio na ufahamu ili awashindilie kwamba wamekopa kujenga UDOM na barabara bila takwimu. Upumbavu kweli kweli.

Habari za Katiba, kama ana justifications za msimamo wa chama chake, na kweli ni mwanamme, aseme kwenye forums za wasomi wanaoelewa pamoja na tume iliyotayarisha hiyo rasimu awakosoe kwamba wamekosea. Siyo kuwakimbia wasomi, na kwenda kuwarubuni watu wasio na utaalamu wa uandishi wa katiba ili apate moral support kwa kuwa mbumbumbu ni wengi.

Ninafikiri sasa wale Waombaji, ni muda sahihi wa kubadili maombi na namna ya kuyafanya. Hatuwezi kudumu katika utumwa wa ukoloni wa ccm wasiojali tena elimu wala maslahi ya wa Tanzania. Unafiki na hila , manipulation na uvunjaji wa sheria na haki za binadamu pasipo kuwa na chembe ya dhamira ya uwajibikaji wala kuleta mabadililko halisi kwa maisha ya MTanzania. Now it is more than enough!.




Watu wengi waliokuwepo kwenye mkutano huo wamebebwa kwa mabasi na wengi wamevalishwa matisheti, makanga, vikofia na nembo za CCM. Wengi ni wasiojitambua, lakini wapo wengi pia ambao wameenda kuwashangaa akina MWIGULU wakitoa mapofu yao ya kinafiki.
 
Nazidi kuwapa hongera Mwanza jamaa anatokwa na povu mko kimya wala hamshangilii napenda sana piga T-shirt, kofia, pilau usafiri wa bure ila akili mukichwa big up sana
mnanifurahisha kwa vile naendelea kuangalia LIVEEEEEEEEEEEEEEE
Ni kweli watu wako kimya.Ila nashangaa hata meza kuu imekunja uso.
 
Year,hii inajionyesha kwenye kujibu oyee!Inaelekea wengi si walengwa.Sauti zinasikika za mama zetu tu.

wamama wachachee walioandaliwa kumliwaza naibu waziri ucku wa leo ha ha ha! story za kina vick kamata bado zipo
 
tanzania bado ina safari ndefu sana kama mambo yenyewe ndio haya
 
Nimemusikiliza Mwigulu tangu mwanzo hadi mwisho. Ukiondoa suala la katiba kusema kweli umeongea vizuri, na body language inaonesha kweli he means what is talking.maswali yangu, je anayo meno ya kufanya hayo aliyoyasema? Pili hata kama anayo meno. Je CCM watamurubusu kutekeleza hayo anayokusudia?

Pili kuhusu suala na katiba mpya, ingawa amepotosha kwa kiwango kikubwa. Lakini kama Mwingulu hana uonga wa kusema ukweli kama alivyodai, kwanini basi CCM wasimtume Mwingulu kwenda kufanya mdahalo wa wazi na wenzake! Maana mpaka sasa hivi tumeona CCM skins Wassira, Kinana wakiogopa kwenda Serena kufanya mdahalo na akina Tundu Lissu.

Mwigulu tunakuomba uiondolee hii aibu CCM kama kweli una hoja zenye mantiki za kutetea S2 ili watanzania tuchambue pumba na mchele
Mwigulu anaweza kuhudhulia mdahalo,haogopi.Nimemtazama vizuri anaweza akaongea chochote bila kujali kama anazungumza uongo au ukweli.Amesema mwenyewe kuwa aliumbwa bila nyongo wala aibu!
 
Back
Top Bottom