Haji Salum
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 1,022
- 395
Ndugu yangu Mwigulu, laana ya mauaji ya kikatili ya namna hii itaendelea kukutafuna tu.... Hutaweza kujinasua...
unamuupdate nan huu uharo?
Mkuu, angekuwa kichaa chama na Rais wangemuamini? Na je watu wangejazana uwanjani kumuangalia na kumsikiliza?
Mkuu, angekuwa kichaa chama na Rais wangemuamini? Na je watu wangejazana uwanjani kumuangalia na kumsikiliza?
mbona hutoi updates sasa mkuu...Fuatilia kama unatazama au unasikiliza TBC
Fuatilia kama unatazama au unasikiliza TBC
Iliyojazana huko ni misukule iliyozolewa huku wakiwa hawajitambui na kumwagwa uwanjani na malori kama matope mana na akili zao ni matope