TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

Haya matusi na upotoshaji ya hili gaidi kwa ukawa ni hatari kwa mustakabali wa taifa
 
Nazidi kuwapa hongera Mwanza jamaa anatokwa na povu mko kimya wala hamshangilii napenda sana piga T-shirt, kofia, pilau usafiri wa bure ila akili mukichwa big up sana mnanifurahisha kwa vile naendelea kuangalia LIVEEEEEEEEEEEEEEE
 
Ila MWIGULU tangu aupate uwaziri kanenepa na kunona kama KITIMOTO.!
 
jamani nimeamini sasa ccm imekufa rasmi maana mwigulu anatema utoko tu na ndio jembe lao kwa sasa naanza kuamini hata nafasi ya upinzani ccm itakosa maana hii ni zaidi ya porojo
 
Huvi huyu Chemba cha mavi ni kamati ipi ya maridhiano anadanganya watu eti ukawa wangeenda kukaa nao
Kesi ya nyani hapewi ngedere hata siku moja
Watalialia tu lazima kieleweke
 
Nape alisema katiba itapatikana bila UKAWA sasa shida iko wapi si waende wakapitishe hiyo katiba mbona wanatoka sana mapovu kwa vitu vyepesi hivi?
 
watu hata awamuungi mkono ata kuitikia na kupiga kelele kweli ccm imechokwa
 
Hivi kweli kuna watu na akili zao wanamsikiliza huyu pimb.i
 
Huvi huyu Chemba cha mavi ni kamati ipi ya maridhiano anadanganya watu eti ukawa wangeenda kukaa nao
Kesi ya nyani hapewi ngedere hata siku moja
Watalialia tu lazima kieleweke

LUGHA unayoitumia ni kitambilisho tosha kuwa we BAVICHA
 
Haya anayo ongea mwigulu kama ndio uwezo wake basi wasomi wa Tanzania wana safari ndefu.
 
duh ccm wanaongea nini? sasa ni hatari,...Ovyo kabisa !%?!j
 
Kama ccm ndio wanatumia kodi za watanzania kumrusha huyu mwigulu asiye na hoja kweli chama hicho kinapita wakati mgumu sana.

Hana hoja ana mbwela mbwela tu
 
Hivi kweli kuna watu na akili zao wanamsikiliza huyu pimb.i

Wamletee maji koo linakauka kwa pumba hivyo vikaratasi anavyoletewa ndo hizo pumba anazotema? Kweli CCM 90 zimefika
 
Back
Top Bottom