Ufahamu wako unakutuma BAVICHA tu, basi umeishia hapo. Na ndiyo maana miaka yote mitano ya uongozi mnaimaliza kwa kutumia raslimali, muda na nguvu zenu zote kupigana na CHADEMA utadhani mlijipachika madarakani kwa lengo hilo. CHADEMA kinawafanya mkose usingizi hadi kupoteza mwelekeo. Mnapambana na CHADEMA badala ya kupambana na matatizo ya Watanzania. Shame on you!
Kwa kuwa uelewa wako mdogo, sina sababu ya kukueleza kwa nini ninazidi kuchangia hapa. ccm mlichobakiza ni uchawi, ugaidi na uchakachuaji tu. hata waliosoma elimu yote walishasahau. poleni lakini ni aibu na mwisho wenu umewadia.
Kwa kuwa uelewa wako mdogo, sina sababu ya kukueleza kwa nini ninazidi kuchangia hapa. ccm mlichobakiza ni uchawi, ugaidi na uchakachuaji tu. hata waliosoma elimu yote walishasahau. poleni lakini ni aibu na mwisho wenu umewadia.
Vijana wa BAVICHA mna matatizo sana.
Kila siku tunasema kazi ya kisiasa mliyotumwa kuifanya iko juu ya uwezo wenu.
Wewe unadai ulizima TV na kuanza kuangalia vipindi vingine halafu cha kushangaza unaanza kuielezea hotuba huku ukikosoa. Sasa hiki unachokikosoa ambacho kilikuwa ni sehemu ya hotuba umekipata wapi wakati hukuangalia hiyo hotuba kwenye TV.
Ndiyo yale yale ya Dr. Slaa ya kuwaambia watu mbali mbali warudishe kazi za CCM wakati ya kwake imeiweka kwenye special document frame.
Kama hukutaka hata kusikia kilichokuwa kinasemwa kwenye mkutano, nini kimekufanya ukaanza kusoma michango mbali mbali kwa jambo ambalo huhitaji hata kulisikia.
Yaleyale ya sizitaki mbichi hizi