The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,264
Mkutano mgumu sana kwa mwigulu, hakuna kitu kigumu kwa mwanasiasa kama kuhutubia watu wanaokutazma tu kama wapo msibani
Yaani kwenye tv naona majani ya ALIZETI
Mkutano mgumu sana kwa mwigulu, hakuna kitu kigumu kwa mwanasiasa kama kuhutubia watu wanaokutazma tu kama wapo msibani
Fuatilia kama unatazama au unasikiliza TBC
mambo aliyoongea mwigulu yanatafakarisha ndo maana kila mtu yuko kimya na makini.
Mwigulu Nchemba peke yake ni sawa na asilimia 80 ya #chadomo
sure jembe!!!mwigulu nchemba peke yake ni sawa na asilimia 80 ya #chadomo
Mbona wanachama wamevaa mashuka meusi?
Yanawagusa wananchi ndio maana wapo kimyaaa!
Chemba cha mavi nahisi alikuwa anaongea kwa kutumia m.a.t.a.k.o maana kwa kawaida mdomo hauwezi ukaongea pumba kama hiziFuatilia kama unatazama au unasikiliza TBC
Kweli mwigulu nchemba anawaza kwa kutumia m.a.t.a.k.o huyu jamaa ni f.a.l.a sana sijaona cha maana alichoongea zaidi ya hadithi za abunuasi
Kama kiongozi wa chama ana akili ya namna hii sasa wanachama watakuwa na akili gani?ha ha ha! msomi wa CCM anafanya kazi ya upinzani eti hospital hazina madawa mara utendaji wa watumishi wa umma ni mbovu so wananchi wa mwanza ndo wawajibishe? mara fedha za umma haziendi panapostahili so walokuwa wanamsikilza wafanyaje? poor ccm mmechuja sana
Mbona uwanja mzima wamevaa njano tupu
kuna jamaa wamelipandikiza larudishe kadi
Yaani ni full MAJANI YA ALIZETI
Kweli eh! Kwahiyo what next baada ya kuyaongea ?
Huwezi kuamini naona Ccm mwanza imefinyangwa kabisa mwigulu amezoea iramba wanamshngili na kumbemba wakati huku ni kama wanamuuliza unamaliza saa ngapi, unatukera!
mh,jibu kamili litapatikana punde.
Kweli mwigulu nchemba anawaza kwa kutumia m.a.t.a.k.o huyu jamaa ni f.a.l.a sana sijaona cha maana alichoongea zaidi ya hadithi za abunuasi
Nimeshudia kwa macho yangu ya nyama malori 2 ya coke semi yakishusha watu