sakni
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 275
- 132
MSALANI na THE BIG SHOW waliniiambia wewe ni mpumbavuu tuHivi kweli kuna watu na akili zao wanamsikiliza huyu pimb.i
Last edited by a moderator:
MSALANI na THE BIG SHOW waliniiambia wewe ni mpumbavuu tuHivi kweli kuna watu na akili zao wanamsikiliza huyu pimb.i
Mkuu Mungu akishapanga yake Binadamu hana Uwezo wa kubadilisha sasa huyu jamaa ndo anaandaliwa kuwa raisi EtiKama ccm ndio wanatumia kodi za watanzania kumrusha huyu mwigulu asiye na hoja kweli chama hicho kinapita wakati mgumu sana.
Hana hoja ana mbwela mbwela tu
Kafuturu ndugu yangu muda ndio huu! Ramadhan KareemKama ccm ndio wanatumia kodi za watanzania kumrusha huyu mwigulu asiye na hoja kweli chama hicho kinapita wakati mgumu sana.
Hana hoja ana mbwela mbwela tu
mwigulu na TBC ni wahuni wakutupwa mbona hawajapeleka matangazo live jimboni kwake iramba magharibi ili tuone vituko na umasikini wakutupwa jimboni kwake yeye anauzia sura kwenye majimbo ya wenzake tunataka kuziona hizo barabara zilizotengenezwa na ng'ombe.
Sure mkuu.Jamaa anaongea kwa hisia kali sana dahhhhh.Mwigulu you are smart,umezungumza mambo yanayogusa maisha ya mtanzania halisi, Mungu akujaalie afya njema ili uweze kutimiza malengo uloyaweka kwa watanzania wenzako!
Mkuu Mungu akishapanga yake Binadamu hana Uwezo wa kubadilisha sasa huyu jamaa ndo anaandaliwa kuwa raisi Eti
Ameen! Ramadhan KareemMwigulu you are smart,umezungumza mambo yanayogusa maisha ya mtanzania halisi, Mungu akujaalie afya njema ili uweze kutimiza malengo uloyaweka kwa watanzania wenzako!
Sure mkuu.Jamaa anaongea kwa hisia kali sana dahhhhh.
Fuatilia kama unatazama au unasikiliza TBC
Kazee gani kanapenda maandamano??? Huyu Mwigulu chizi.
Mungu hawezi panga huu upuu.zi