kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
na ww mtkane kidhungu mbna easy tuu
haha mkuu tayari nimeshampa bakishishi yake.hahaha.namsubiri arudi tena.
na ww mtkane kidhungu mbna easy tuu
Marekani mtu kuwa genius mnatumia vigezo gani? Ulishawahi fanya IQ test?
Huyo jamaa (Manyerere) ni mwandishi wa habari (supposedly). Nilitegemea awe makini sana katika matumizi yake ya maneno achilia mbali mantiki za hoja.
Lakini kwa jinsi ambavyo huwa namsoma humu, huwa naishia kutingisha kichwa changu tu.
Hivi kweli huko Malawi hakukuwa hata na opinion poll moja iliyotabiri kushindwa kwa huyo Mama?
Approval rating ya utendaji wake kazi ilikuwa ni asilimia ngapi kabla ya uchaguzi?
I guess hata mimi nikitabiri kuwa CCM mwakani itashinda uchaguzi mkuu nitakuwa nimefanya jambo la ajabu. Nami nitakuwa 'kiboko', 'kichwa', na 'genius'.
Hahahahaaaaaaa duuuuuuh.
Mbona ndege haijapatikana bado?? Mbona Arsenal imeshinda kikombe na hivyo kukinzana na utabiri wake?? Utabiri ni ujanja ujanja tu wa kucheza na nyota na mwendo wa matukio, ni kama Shekh Yahaya alivyokuwa anatabiri kiujanja ujanja tu.
Binafsi awe mtu wa Mungu au shetani, akishajiingiza kwenye utabiri tu huyo kwangu mchawi maana utabiri ni kucheza na nyota na inakuwa kama unaingilia kazi za Mungu.
ndio wahariri wanaoitwa ikulu kwa press release!No wonder why this place is so godforsaken!
Maana sampuli kama hizi ndo zina run things nchini.
Eti TB Joshua kiboko.....good grief.
ni kweli kabisa kutumia mamisamiati magumu huo sio u genius kwa maana nyingine kingereza ni lugha ya kawaida tu, hata sisi huku bongo vigezo vya namna hiyo hatuvitumii...Sijui, lakini kutumia maneno ya Kiingereza ambayo hayatumiwi katika maongezi ya kila siku hakumfanyi mtu kuwa genius.
Sijawahi hata siku moja kuona au kusikia vile vitoto vya Spelling Bee vikiitwa vi-genius.
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
Utabiri wake kwa Arsenal vipi?
Wajinga ndio waliwao.
I Believe in Him Toka zamani.. Naangalia Videos zake pia
Si kila Mtu atamwamini kwahiyo Play your part kama unamwaminj na Iwe hivyo..
Siku zote Adui wa Mungu hadumu lazima ataanguka. Maana tutamtambua kwa Matendo yake
38 Basi sasa nawaambia, Jiepusheni na watu hawa, waacheni; kwa kuwa shauri hili au kazi hii ikiwa imetoka kwa binadamu, itavunjwa,
39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu hamwezi kuivunja; msije mkaonekana kuwa mnapigana na Mungu.
Utabiri wake kwa Arsenal vipi?
Wajinga ndio waliwao.
ni kweli kabisa kutumia mamisamiati magumu huo sio u genius kwa maana nyingine kingereza ni lugha ya kawaida tu, hata sisi huku bongo vigezo vya namna hiyo hatuvitumii...
mi ndo maana hata wanamfuata nawaona kama machizi tu..