FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
aliwahi kutabiri chochote kuhusu arsenal halafu ikawa kinyume au?
Arsenal Will Win D English Premiership This Season Coming 4rm Prophet T.b Joshua - European Soccer - Nairaland
aliwahi kutabiri chochote kuhusu arsenal halafu ikawa kinyume au?
Mbona nawewe unaweza kutabili vizuri tu.. kwa mfano.. mimi nilitabili ndoa ya vicky itashindikana na imekuwa..
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
Acha kusema Uongo wewe nani na wapi panasema Unabii ulikwisha Miaka mingi iliyopita
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
![]()
Wajinga ndio waliwao
Wewe mbona unabisha bisha kila hoja? Au unakabusha kachanga kanachipukia?
6 lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli,
17 Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, nitawamwagia watu wote Roho yangu, na wana wenu na binti zenu watatabiri; na vijana wenu wataona maono; na wazee wenu wataota ndoto.
18 Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi wangu wanaume na wanawake Roho yangu, nao watatabiri.
Kama anaweza atabiri anguko au ushindi wa Boko haram, au atueleze mwaka kesho Tanzania itaongozwa na rais gani aseme jina lake
Matendo ya Mitume 2: 16-18
1
Haya sasa wewe mwenye Hoja weka Maandishi yako yanayoonesha kwamba Unabii Ulikoma
huku Bongo sie huwa tunaangalia uwezo wa mtu kupita kawaida...
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
unataka niwataje kwa majina?Kwa hiyo huko bongo ma genius wenu ni akina nani?
unataka niwataje kwa majina?
Ndiyo, nataka uwataje kwa majina.