miezi 4 inakuwa milioni 240, kitu ambacho hakiwezekani.
Kama utakumbuka, miezi miwili iliyopita nilikuja na post juu ya kutoa shukrani kwa Yesu kwa kumtumia mtumishi wa Mungu TB Joshua kuniponya tatizo langu la uvimbe sehemu za siri ambalo lilikuwa likinifanya kushindwa kusimamisha uume wangu kwa miaka zaidi ya 4. Uponyaji wa tatizo langu ulifanyika kupitia maji maarufu ya ANOINTING WATER yanayoandaliwa na kutolewa na TB JOSHUA MINISTRIES.
Leo nataka nikushirikishe juu ya jinsi maji hayo yalivyonipa FUSSO 2, COASTER 3, NYUMBA 2, na RESTAURANT 3.
Nilianza biashara yangu miezi 4 iliyopita. Kalikuwa ni kamgahawa kadogo tu lakini kwasababu niliamini kwenye nguvu iliyomo ndani ya Yesu, sikuwa na hofu yoyote kuwa mafanikio yanakuja.
Kabla ya hapo, nilisikia shuhuda za watu mbaimbali ambao walitajirika baada yakutumia ANOINTING WATER kwa imani. Nikaamua kuyatumia haya maji kwenye biashara yangu kwa imani kubwa. Nilichokifanya ni kupuliza haya maji kwenye milango na makabati ya chakula huku nikiamrisha wateja wafurike kwenye biashara yangu kwa jina la Yesu.
Huwezi kuamini, mauzo yalibadilika kutoka shs laki 2 kwa siku hadi milioni 2. Watu wanajaa kwenye restaurant hadi nikaamua kuweka viti na meza eneo la jikoni na bafuni. Wateja wako radhi hata kula huku wamesimama au wamechuchumaa. Inapofika muda wakufunga huwa inabidi niwafukuze wateja vinginevyo tunaweza kukesha.
Ndani ya miezi 3, nimejenga nyumba 2, nimenunua coaster 3, fusso 2 na niko mbioni kufungua restaurant nyingine 2.
ASANTE YESU. ASANTE TB JOSHUA
Hata mtu awe mjinga kiasi gani akisoma maneno hayo mekundu atajua kuwa huo ni ushirikina kabisa. Chukua tahadhari ndugu yangu, hizo ni mbinu za shetani. Yesu alipokuwa duniani hakutanguliza utajiri. Katika mafundisho yake yote aliwasihi watu watangulize UFALME WA MUNGU kwanza sio magari na biashara.Kabla ya hapo, nilisikia shuhuda za watu mbaimbali ambao walitajirika baada yakutumia ANOINTING WATER kwa imani. Nikaamua kuyatumia haya maji kwenye biashara yangu kwa imani kubwa. Nilichokifanya ni kupuliza haya maji kwenye milango na makabati ya chakula huku nikiamrisha wateja wafurike kwenye biashara yangu kwa jina la Yesu.
Huwezi kuamini, mauzo yalibadilika kutoka shs laki 2 kwa siku hadi milioni 2. Watu wanajaa kwenye restaurant hadi nikaamua kuweka viti na meza eneo la jikoni na bafuni. Wateja wako radhi hata kula huku wamesimama au wamechuchumaa. Inapofika muda wakufunga huwa inabidi niwafukuze wateja vinginevyo tunaweza kukesha.
Ndani ya miezi 3, nimejenga nyumba 2, nimenunua coaster 3, fusso 2 na niko mbioni kufungua restaurant nyingine 2.
Kama utakumbuka, miezi miwili iliyopita nilikuja na post juu ya kutoa shukrani kwa Yesu kwa kumtumia mtumishi wa Mungu TB Joshua kuniponya tatizo langu la uvimbe sehemu za siri ambalo lilikuwa likinifanya kushindwa kusimamisha uume wangu kwa miaka zaidi ya 4. Uponyaji wa tatizo langu ulifanyika kupitia maji maarufu ya ANOINTING WATER yanayoandaliwa na kutolewa na TB JOSHUA MINISTRIES.
Leo nataka nikushirikishe juu ya jinsi maji hayo yalivyonipa FUSSO 2, COASTER 3, NYUMBA 2, na RESTAURANT 3.
Nilianza biashara yangu miezi 4 iliyopita. Kalikuwa ni kamgahawa kadogo tu lakini kwasababu niliamini kwenye nguvu iliyomo ndani ya Yesu, sikuwa na hofu yoyote kuwa mafanikio yanakuja.
Kabla ya hapo, nilisikia shuhuda za watu mbaimbali ambao walitajirika baada yakutumia ANOINTING WATER kwa imani. Nikaamua kuyatumia haya maji kwenye biashara yangu kwa imani kubwa. Nilichokifanya ni kupuliza haya maji kwenye milango na makabati ya chakula huku nikiamrisha wateja wafurike kwenye biashara yangu kwa jina la Yesu.
Huwezi kuamini, mauzo yalibadilika kutoka shs laki 2 kwa siku hadi milioni 2. Watu wanajaa kwenye restaurant hadi nikaamua kuweka viti na meza eneo la jikoni na bafuni. Wateja wako radhi hata kula huku wamesimama au wamechuchumaa. Inapofika muda wakufunga huwa inabidi niwafukuze wateja vinginevyo tunaweza kukesha.
Ndani ya miezi 3, nimejenga nyumba 2, nimenunua coaster 3, fusso 2 na niko mbioni kufungua restaurant nyingine 2.
ASANTE YESU. ASANTE TB JOSHUA
Mkuu huyu jamaa ni mwongo alitaka kutushika ss ambao hesabu tulifeli sasa aje apa aseme 130M alizitoa wap ili anunue vyote hivyo na kujengamauzo mil 2, mtaji matumizi mengine ~ 1m = faida ~1m/day x miezi 3(siku90) = faida kwa miezi 3, 90m.
Fusso >40m x 2 = >80m
coaster >30m x 3 >90m
nyumba> 25m x 2 = >50m.
Jumla >220m.
Jumla kuu (>130m)
Mkuu unadaiwa si chini ya 130m
Ivi watu, lini tutaacha upuuzi? Lini tutajielewa?
Ivi wachungaji wangekua na uwezo huo kungeanzishwa hospitali kweli???????
Huyo Yesu ameshakufa, aliebaki ni Mungu, kwanini mnadai nguvu za mfu na kuzitukuza kuliko hata alivyokuwa hai?
Kama yeye muokozi kwanini alishindwa kujiokoa mwenyewe msalabani pale?????
:think: :think: :think:
Actually unamtumikia shetani bila kujua... Yesu sio wa kuhusishwa na biashara za laki mbili kua milioni mbili.
Haya makanisa yenu haya balaa sana..There are no shortcuts in life hao kina TB joshua wanajua walitendalo na wakipatacho
Kama utakumbuka,
miezi miwili iliyopita nilikuja na post juu ya kutoa shukrani kwa Yesu
kwa kumtumia mtumishi wa Mungu TB Joshua kuniponya tatizo langu la
uvimbe sehemu za siri ambalo lilikuwa likinifanya kushindwa kusimamisha
uume wangu kwa miaka zaidi ya 4. Uponyaji wa tatizo langu ulifanyika
kupitia maji maarufu ya ANOINTING WATER yanayoandaliwa na kutolewa na TB
JOSHUA MINISTRIES.
Leo nataka nikushirikishe juu ya jinsi maji hayo yalivyonipa FUSSO 2,
COASTER 3, NYUMBA 2, na RESTAURANT 3.
Nilianza biashara yangu miezi 4 iliyopita. Kalikuwa ni kamgahawa kadogo
tu lakini kwasababu niliamini kwenye nguvu iliyomo ndani ya Yesu, sikuwa
na hofu yoyote kuwa mafanikio yanakuja.
Kabla ya hapo, nilisikia shuhuda za watu mbaimbali ambao walitajirika
baada yakutumia ANOINTING WATER kwa imani. Nikaamua kuyatumia haya maji
kwenye biashara yangu kwa imani kubwa. Nilichokifanya ni kupuliza haya
maji kwenye milango na makabati ya chakula huku nikiamrisha wateja
wafurike kwenye biashara yangu kwa jina la Yesu.
Huwezi kuamini, mauzo yalibadilika kutoka shs laki 2 kwa siku hadi
milioni 2. Watu wanajaa kwenye restaurant hadi nikaamua kuweka viti na
meza eneo la jikoni na bafuni. Wateja wako radhi hata kula huku
wamesimama au wamechuchumaa. Inapofika muda wakufunga huwa inabidi
niwafukuze wateja vinginevyo tunaweza kukesha.
Ndani ya miezi 3, nimejenga nyumba 2, nimenunua coaster 3, fusso 2 na
niko mbioni kufungua restaurant nyingine 2.
ASANTE YESU. ASANTE TB JOSHUA
TB JOSHUA ni mtumishi wa Mungu. Anointing water ni damu halisi ya YESU
miezi 3, unasema unaingiza ghafla million mbili kwa siku, 3 x 30 x 2,000,000 = 180,000,000
fuso moja mtumba ni million 300, kama unabisha muulize mbowe wa chadema au wafuasi wake , wewe si mmoja wapo?
Sasa hapo chalii hata fuso moja hazitimii hizo hesabu zako. Kajipange upya.
Ukiniambia kazi yako ni jambazi ntakubali, unaweza ingiza hata zaidi ya hivyo kwa ujambazi.
wajinga ndio waliwao.