Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
TB JOSHUA ni mtumishi wa Mungu. Anointing water ni damu halisi ya YESU
tobaaaa,kama ni damu ya yesu ingeitwa blood of jesus,ushasema alikupa maji yaitwayo anointing water. acha kujiuma uma huo ni ushirikina.
yesu alikufa msalabani miaka takriban 2000 iliyopita,leo umegaiwa damu yake inform of water.
Haya nayo yapaswa kuwa kivutio cha utalii tz