cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
😂😂😂😂😂huenda kuku hizo zimekufa kwa kimeta au kideri![]()
😂😂😂😂😂huenda kuku hizo zimekufa kwa kimeta au kideri![]()
Ulifikiri kwa makini hesabu imenyooka sanaTazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Kifo chale kimeniliza sana mpaka macho yamevimba kanakwamba nimedungwa na nyuki.Tuende Vatican hujui papa kafa 🥺
Mtu aliekua haelewi hesabu darasani hawezi kuelewa hii explanation, kiufupi hili ndio jibuKuzidisha kwa maana nyingine ni kujumlisha kwa idadi ile unayozidisha...
Mfano 8 x 2 ni sawa na 8 + 8;
8 x 3 ni sawa na 8+8+8;
8 x 0 ni kwamba hio nane yako haujaiongeza kwahio ni 0 (yaani haipo)
8 x 1 ni kwamba ni 8 peke yake ambapo jibu ni nane...
Unajua maana ya × ?Tazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Ni kuku wangu, zingatia ngeli ya A-Wa kwa viumbe hai.Hivi ni kuku wangu au kuku zangu?
Waache kumlilia wazungu wenzie Ila jamaa miyeyusho sana 😂 😂Kifo chale kimeniliza sana mpaka macho yamevimba kanakwamba nimedungwa na nyuki.
Nilitaka mdau arekebishwe mkuu na ni tatizo lililopo kwenye Jami kwa namna wanavyotamka.Ni kuku wangu, zingatia ngeli ya A-Wa kwa viumbe hai.
Ndio maana tunasema, “kuku wangu hutagia mibani“
Rudi kasome form one hesabuuna hoja usikilizwe,usipojibiwa na wanaojiita vichwa basi tumedanganywa vya kutosha kuhusu hili iltakiwa 0 times 8 ndo iwe 0 sio 8 times 0
Kalale umelewa nini?Tazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Ni sawa kwasababu 8 x 1 ni sawa na kusema nane nane ziwe moja ambapo unapata hiyo hiyo nane.Tazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Kwa hiyo walikwa wanaamini mambo ya mirako.Waache kumlilia wazungu wenzie Ila jamaa miyeyusho sana 😂 😂
Unawakumbuks wasabato masalia walokesha uwanja wa ndege wakitarajia kusafiri pasi hawana visa, wala hati ya kusafiria, wala kibali chochote wakitegemea miujiza 😂
Acha tu mkuu, nikiangalia namna watu wanavyoandika na kutamka siku hizi, hakika ni huzuni!Nilitaka mdau arekebishwe mkuu na ni tatizo lililopo kwenye Jami kwa namna wanavyotamka.