Tazameni uongo wa Mathematics

Tazameni uongo wa Mathematics

Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Achana
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Tuifanye uachane na kuzidisha hizo Kuku 8 kwa 0,
Wewe fanya kuchukua hao Kuku nane ugawe kwa 0 utajua watakapoenda.
 
8 x 1 ni sawa na kusema upeleke vitu vinane sehemu fulani mara moja. Ukipeleka mara moja kutakuwa na vitu vinane.

8 x 2 ni sawa na kusema upeleke vitu vinane vinane sehemu fulani mara mbili. Ukipeleka mara mbili kutakuwa na vitu kumi na sita.

Sasa hiyo 8 x 0 ni sawa na kusema unatakiwa upeleke vitu vinane sehemu fulani lakini usipovipeleka hata mara moja (0) maana yake hapo sehemu hapatakuwa na chochote (sifuri).
Genius
 
Sifuri imezidishwa mara idadi ya kuku ulio nao
0 maana yake hauna kitu hata kama zikiwa 0 ngapi, mimi nina 8 kama 8 yaani ila kwa uongo wa mathematics inapotea bila hata kutoa wala kuitumia.
 
Kutoka kujadili EPA, escrow ,richmond hadi 8x0 ?? Hakika jf sio tena ile ya mwanzo.

Vigezo vya kujiunga jf viongezwe
 
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Hiyo 0 ni yai la kuku, sasa inabidi ujiulize kati ya kuku na yai ni yupi alianza kuwepo. Maana yake aliyeanza kuwepo ni yai, kwahyo kuku wako wamerudi ndani ya yai. Wala usiwatafute
 
Sio kweli, kuku sifuri ni huna kuku, kuku wanane ni unakuku wanane, ni vitu viwili tofauti
Kuku unao kizidishio ndio huna ambacho ni 0 ila kuku unao 8 elewa ( 8x0)
 
Yani mkuu ntakuramba kibao Cha kisogo ....Hadi utapike hao kuku ..

Rudisha kuku bandani na ujinga wako na hao walim wa hesab Allah....

Mnataka mfiche kuku mkabetie huko .
Mseme mmezidisha Mara sifuri...
Ujinga wenu huo na walim wako.
😂😂😂
 
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Fanya 0 x 8, yaani zero ziwe 8, unapata ngapi jumla?
 
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Sifuri ni kitu kibaya sana ukijua vizuri! 1,000,000x0=0.
 
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔

Hiyo ni sawa na kusema SINA KITU.
Hata ungeitamka ( Zidisha) mara 8😁

8 x 0 = 0 x 8
 
Kuzidisha kwa maana nyingine ni kujumlisha kwa idadi ile unayozidisha...

Mfano 8 x 2 ni sawa na 8 + 8;
8 x 3 ni sawa na 8+8+8;
8 x 0 ni kwamba hio nane yako haujaingoze kwahio ni 0
8 x 1 ni kwamba ni 8 peke yake ambapo jibu ni nane...
Nilitaka nieleze hivi ila kama na hapa hajaelewa basi abinywe aseme akili ameweka wapi...!
 
Back
Top Bottom