Tazameni uongo wa Mathematics

Tazameni uongo wa Mathematics

imagine umenunua kuku nane mara mbili hapo una kuku 16

imagine umenunua kuku nane mara moja, hapo una kuku nane

imagine umenunua kuku name mara sifuri, maana yake hujanunua labda ulifikiria tu kwaiyo hauna kuku 8 x 0 = 0
 
Mawazo ya mlipa kodi wa ccm😂😂😂
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
 
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
8 x 0 =0

Maana yake Sifuri (0) imejumlishwa mara nane (8) na jibu lake litabaki kuwa Sifuri (0).

0+0+0+0+0+0+0+0 =0.
 
Hiyoo 8 ni kuku na hiyo 0 ni nini
Ok tu asumme labda pesa au basi kuku o pesa iwe 8
 
Sasa mkuu hao kuku wako nane ukishawaweka na sifuri, maana yake hawapo ni imaginary (wa kufikirika), wakishakuwepo tu basi tayari hiyo hesabu yake ni 8×1 au 1×8 na siyo sifuri tena
 
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Namba ya kwanza inasimama kama namba ya kuzidishia tu.
 
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Kuku zilienda au walienda?
Anyway, tutoke kwenye lugha turudi kwenye mathematics. Kwa kutumia Commutative property of multiplication,
8 x 0 = 0 x 8
Kwa hiyo ni sawa na kusema ulikuwa na kuku 0 (haukuwa nao), halafu ukazidisha mara 8. Fikiria hilo utuambie unategemea kuwa na kuku kwa kutokuwa na kuku mara nyingi?
 
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
Una kuku nane unazidisha na kitu ambacho hakipo basi hata hao kuku nane ni sifuri
 
BICHWA KOMWE - NDUGU NIKUSAIDIE KITU HESABU/HISABATI/MATHS SIO SUALA LA HISIA BALI NI FACTS! UTANIULIZA KIVIPI! UNAPOJUMLISHA KITU NA KITU FACT YA HESABU/THAMANI YA HESABU/NAMBA INAHESABIKA KWENYE KILE KITU ULICHONACHO SIO KILE USICHOKUWA NACHO! VIVYO HIVYO KWENYE KUTOA! UNAPOZIDISHA(MULTIPLY) AU KUGAWANYA (DIVIDE) KITU, THAMANI(VALUE) YA ICHO KITU INAHESABIKA KWENYE KILE KITU INABEBWA/AU KUTHAMINISHWA NA ICHO KITU UNACHOZIDISHA NACHO!

To shorten the story!
Ukiwa na machungwa 7 +/-machungwa 0( thamani ya machungwa inabebwa na machungwa 7 uliyonayo).
Na
Ukiwa na machungwa 7×/÷machungwa 0(Thamani ya machungwa yako inabebwa na kile kilichokuja KUGAWANYA machungwa yako)

HII INAMAANA KWAMBA
Machungwa 7 nimegawanya/kumzidishia kwa mtu SIFURI, Je sifuri amepata nini!?? Jibu ni SIFURI(HAJAPATA KITU)/

IN OTHER DIMENSION
Mfano nilikuwa nina machungwa 7 nikayagawa/kuwazidishia kwa watu o(SIFURI) NITAKUWA NIMEYGAWA AU KUWAZIDISHIA IDADI GANI YA WATU!?? JIBU NI NIMEWAZIDISHIA/KUWAGAWIA WATU SIFURI TU.

Lakini hayo hayo machungwa 7 nikitoa machungwa 0 au kujumlisha machungwa 0 nitabaki na nini!?? Jibu ni MACHUNGWA 7.

USIPOELEWA HAPA! HAMIA CCM KWENYE MAZUZU WENZAKO!!
 
Tazameni Uongo Wa Mathematics

Eti: 8 x 0 = 0

Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔

Yaani hapo wana maana kuku wako uliwala au kuwagawia ndugu na jamaa. Hapo utabakiwa na nini?
 
Back
Top Bottom